Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

mzima ni yule mwenye amani ya akili na mwili,lakini dunia ya sasa wenye akili ni wachache sana wengi ni machizi ila hawajijui,haiwezekani mtu mzima wa akili msomi kutengeneza silaha hatari kisha kwenda kuwaua binadamu wenzake kama kuku mataifa mengi ya magharibi yamejaa wendawazimu
 
Kuchizika kwenyewe kusiwe kwa kuvua nguo na kuokota makopo
 
makopo na chupa zilizotumika majalalani ni moja ya ujasiriamali hapa bongo
 
Bongo pamekua sehem ya ajabu sana sijapata kuona watu mpka leo tu wanahangaika kumtafuta wamwisho wanaacha kazi zao kwenye huu uzi
 
kuzifuatilia hadithi za shigongo ilikuwa kawaida yangu ila siku hizi napenda za lara 1
 
huu ni uzi pekee ambapo watu wanaususia lakini baadae wanaurudia
 
Wanaurudia kila siku na mtu hawezi kupita bila ku comment.
 
Back
Top Bottom