life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,037
Pia siye wote itafika umri wa kustaafu.Mstaafu hata Dk. Jk pia
°•°Faith •Hope •Charity•°•
Pia siye wote itafika umri wa kustaafu.Mstaafu hata Dk. Jk pia
°•°Faith •Hope •Charity•°•
Kustaafu ni umri gani tena?Pia siye wote itafika umri wa kustaafu.
Tena baada ya kufanya kazi ktk soko la ajira ufikapo umri wa miaka 60-65 unatemwa !!
Unatemwa kama bigijiiTena baada ya kufanya kazi ktk soko la ajira ufikapo umri wa miaka 60-65 unatemwa !!
Big jii inautamu wa sukari...
Bigijii zimeadimika
Zimeadimika post za wakongwe waasisi waa huu uziBigijii zimeadimika
Uz gan?Zimeadimika post za wakongwe waasisi waa huu uzi
Happiness is a lifestyle
Ujinga ukiendekeza matamanio ya anasa..
tu tu tu mlio wa bunduki ulisikika baada ya majambazi kuvamia kiduka cha mangi bahati mbaya alikuwa ameshausoma huo mchezo akawa ameama siku moja kabla ya huo uvamizi uliowaacha majambazi na aibu yao
Yao NI kabila maarufu Hapo kusinitu tu tu mlio wa bunduki ulisikika baada ya majambazi kuvamia kiduka cha mangi bahati mbaya alikuwa ameshausoma huo mchezo akawa ameama siku moja kabla ya huo uvamizi uliowaacha majambazi na aibu yao
kusini mwa nchi ya Tanzania kuna makabila yanakula panya aka chamaki nchangaYao NI kabila maarufu Hapo kusini
Nchanga au pevu la muhimu wajaza tumbo ..kusini mwa nchi ya Tanzania kuna makabila yanakula panya aka chamaki nchanga
tumbo la mwenye kitambi linakuwa limejaza uchafu uchafu tu, hakuna hata kitu cha muhimuNchanga au pevu la muhimu wajaza tumbo ..
Muhimu utunze afya yako bila kuendekeza ulafi..tumbo la mwenye kitambi linakuwa limejaza uchafu uchafu tu, hakuna hata kitu cha muhimu
ulafi usiambatane na uchoyo, hii ina maana kuwa ukiwa mlafi usiwe mchoyoMuhimu utunze afya yako bila kuendekeza ulafi..
Mchoyo Hana makazi mema hapa mtaani..ulafi usiambatane na uchoyo, hii ina maana kuwa ukiwa mlafi usiwe mchoyo