fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,256
- 3,889
hadaa kweli km ukiamua uiache ikuendesheUlimwengu siku zote huwa n shujaa ila dunia huwa n hadaa
hadaa kweli km ukiamua uiache ikuendesheUlimwengu siku zote huwa n shujaa ila dunia huwa n hadaa
Ikuendeshe kama gari bovuhadaa kweli km ukiamua uiache ikuendeshe
gari bovu linatakiwa pelekwa garage, ukishindwa kalidump watu wajichukulie vyuma chakavuIkuendeshe kama gari bovu
Vyuma chakavu nanunua kwa bei ya juu sana ila kwa mkopogari bovu linatakiwa pelekwa garage, ukishindwa kalidump watu wajichukulie vyuma chakavu
Mkopo nafuu bila riba kwajiri ya vijana kujiajiri...Vyuma chakavu nanunua kwa bei ya juu sana ila kwa mkopo
Kujiajiri siku hizi ndio kazi pekee kwa vijana iliyobaki ndugu gilldenu:Mkopo nafuu bila riba kwajiri ya vijana kujiajiri...
ndugu gilldenu, na wadau wote wa huu uzi wa mwisho ndiye msindi nawatakia heri ya kuzaliwa kwa Kristo YesuKujiajiri siku hizi ndio kazi pekee kwa vijana iliyobaki ndugu gilldenu:







Yesu Mpenda Ujamaa,Amri kuu ni upendo.ndugu gilldenu, na wadau wote wa huu uzi wa mwisho ndiye msindi nawatakia heri ya kuzaliwa kwa Kristo Yesu![]()
Upendo wa mods ndo utapelekea huu uzi kuishaYesu Mpenda Ujamaa,Amri kuu ni upendo.
Kuisha itakuwa ngumu Labda washuke Malaika.Upendo wa mods ndo utapelekea huu uzi kuisha
Malaika watawashukia mods na kuufuta huu uziKuisha itakuwa ngumu Labda washuke Malaika.
Uzi huu hauwezi futwa, kwani hauna lugha chafu ya aina yoyoteMalaika watawashukia mods na kuufuta huu uzi
Uzi kama huu hata mwakani tutaendelea naoMalaika watawashukia mods na kuufuta huu uzi
tutaendelea nao km wasiposhukiwa na malaika wa shariUzi kama huu hata mwakani tutaendelea nao
Shari siyo nzuri popote pale hata malaika wanauona Uzi huu kwanza siyo wa matusi n wakujipima tu unaweza kuwa wa mwisho na ukachukua ushindi?tutaendelea nao km wasiposhukiwa na malaika wa shari
ushindi ktk huu uzi nitaupata mimiShari siyo nzuri popote pale hata malaika wanauona Uzi huu kwanza siyo wa matusi n wakujipima tu unaweza kuwa wa mwisho na ukachukua ushindi?
Mimi lazima Leo niwe mshindi. Wengine huwa wanatest wanakimbia tunabaki mm na ww. Juzi nilikushinda nilipokuquote nikasema hv "maisha yanaweza kukuendesha kama gari bovu"ushindi ktk huu uzi nitaupata mimi
gari bovu haliwezi kunishinda kwa kua nina break downMimi lazima Leo niwe mshindi. Wengine huwa wanatest wanakimbia tunabaki mm na ww. Juzi nilikushinda nilipokuquote nikasema hv "maisha yanaweza kukuendesha kama gari bovu"
Break down sawa lakn kumbuka kitu kibovu n kibovu totallygari bovu haliwezi kunishinda kwa kua nina break down
totally huu uzi umeuanza kuufatilia liniBreak down sawa lakn kumbuka kitu kibovu n kibovu totally