fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,256
- 3,889
ni mwema kwa kua anatupenda soteNyakati zote Mungu wetu n mwema
ni mwema kwa kua anatupenda soteNyakati zote Mungu wetu n mwema
Sote humu jf utazan tunajuanani mwema kwa kua anatupenda sote
tunajuana kwa avatar na michango ktk threadSote humu jf utazan tunajuana
Thread kama hii humfanya mtu ajitahd kumalizia na neno litakalosumbua wengine kuliazishia sentensi ya hadi vichwa wavikune.tunajuana kwa avatar na michango ktk thread
wavikune kweli maana hapa km upo shallow ktk kufikiri hautapawezaThread kama hii humfanya mtu ajitahd kumalizia na neno litakalosumbua wengine kuliazishia sentensi ya hadi vichwa wavikune.
Hautapaweza kweli sabab wengi huja na kupoteawavikune kweli maana hapa km upo shallow ktk kufikiri hautapaweza
kupotea na wasijulikane walipo km Ben na AzoryHautapaweza kweli sabab wengi huja na kupotea
Azory yukoje kweli? Au tayari na mm nimeshapoteakupotea na wasijulikane walipo km Ben na Azory
Azory yukoje kweli? Au tayari na mm nimeshapotea
Simba sc chama kubwa kesho linafuzu ktk hatua ya makundiNinapoenda ni mbali,mbele kiza nyuma kiza,kushoto chui kulia Simba.
Makundi mengine huwa ni yakigaidiSimba sc chama kubwa kesho linafuzu ktk hatua ya makundi
yakigaidi km kundi walilopangwa Serengeti boys under 17Makundi mengine huwa ni yakigaidi
Under 17 za kibongo saazingine huwa wanaingia na mamluki over 17yakigaidi km kundi walilopangwa Serengeti boys under 17
Over 17 hawapo maana yangekua yameshatukuta km waliyopatwa nayo ZanzibarUnder 17 za kibongo saazingine huwa wanaingia na mamluki over 17
Zanzibar yaliwapata eeeeOver 17 hawapo maana yangekua yameshatukuta km waliyopatwa nayo Zanzibar
eeee yaliwapata au haujuiZanzibar yaliwapata eeee
Haujui kuwa fizo talent watu tuna majukumu mengi yan vichwa vimejaa vitu ving sazngine mambo kama hayo tunasahaueeee yaliwapata au haujui
tunasahau hata kumkumbuka muumba kwa sababu ya ulimwenguHaujui kuwa fizo talent watu tuna majukumu mengi yan vichwa vimejaa vitu ving sazngine mambo kama hayo tunasahau
Ulimwengu siku zote huwa n shujaa ila dunia huwa n hadaatunasahau hata kumkumbuka muumba kwa sababu ya ulimwengu