Vw Jr
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 377
- 343
"Nations",,,,,Tanzania is among of them..AFCON - African Cup Of Nations
"Nations",,,,,Tanzania is among of them..AFCON - African Cup Of Nations
Mshindi alieuanzisha keshastaafu lkn hajui huu uzi unaendeleaHapa tena kwenye huu uzi hakuna mshindi.
Unaendelea mpaka mwisho wa duniaMshindi alieuanzisha keshastaafu lkn hajui huu uzi unaendelea
Dunia itamuachia jua likibakiaUnaendelea mpaka mwisho wa dunia
Uniite kwa jina ndo nitaitikaLikibakia hata kidogo, uniite
Uniite Kaja Leo ndio Babu yake ThadUniite kwa jina ndo nitaitika
Nitaitika mara tatu kumaanisha leo ni siku nyingineUniite kwa jina ndo nitaitika
Nyingine zinashangaza, cjui wana reply nn maana sio comment ya mwisho kabisaNitaitika mara tatu kumaanisha leo ni siku nyingine
Kabsaaa mmeshndwa kumpata moo hata baada ya kutangaziwa dau la billioni 1Nyingine zinashangaza, cjui wana reply nn maana sio comment ya mwisho kabisa
Bilioni 1 hiyo inatuogopesha mpaka ukiipata tutafyekelewaaa mbaliKabsaaa mmeshndwa kumpata moo hata baada ya kutangaziwa dau la billioni 1
Mbali kabisa na utakuwa na kosa la kujibu pale kisutu nadhaniBilioni 1 hiyo inatuogopesha mpaka ukiipata tutafyekelewaaa mbali
Nadhani pia ndio utakuwa mwisho wa kumpokea Mo kwenye kutekwaMbali kabisa na utakuwa na kosa la kujibu pale kisutu nadhani
Kutekwa kuna shusha imani yetu watanzaniaNadhani pia ndio utakuwa mwisho wa kumpokea Mo kwenye kutekwa
Watanzania ipo siku wakichoka kuamini ni ngumu sana kuwarudisha nyumaKutekwa kuna shusha imani yetu watanzania
Nyuma ya Pazia kuna ukungu mzito umetandaWatanzania ipo siku wakichoka kuamini ni ngumu sana kuwarudisha nyuma
Umetandaa kamaa wadudu ainaa ya siafuu wakipitaaa kimakundi makundiiiNyuma ya Pazia kuna ukungu mzito umetanda
Makundi ya wasiojulikana yana tishia amani yetuUmetandaa kamaa wadudu ainaa ya siafuu wakipitaaa kimakundi makundiii