fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,256
- 3,889
akarekebika mwenyewe au kuna ulichomfanyiaHayo mambo hatimae aliyaacha na akarekebika
akarekebika mwenyewe au kuna ulichomfanyiaHayo mambo hatimae aliyaacha na akarekebika
"Ulichomfanyia" ni maneno pia alisikika akiyasema jiran yetu hapa aliyeachwa na mke wake. Daaaa lakin mkuu maneno yako ya mwisho mmmmh yananipa shida kweli kuanzisha sentensi, kweli wewe n talent fizo.akarekebika mwenyewe au kuna ulichomfanyia
fizo ni talent kweli ila ngoja nikupe neno rahisi uendelee kunipa mkasa,ulimpa darasa gani au kipigo cha aina gani ambacho alielewa"Ulichomfanyia" ni maneno pia alisikika akiyasema jiran yetu hapa aliyeachwa na mke wake. Daaaa lakin mkuu maneno yako ya mwisho mmmmh yananipa shida kweli kuanzisha sentensi, kweli wewe n talent fizo.
Alielewa nini? na mimi nieleweshenifizo ni talent kweli ila ngoja nikupe neno rahisi uendelee kunipa mkasa,ulimpa darasa gani au kipigo cha aina gani ambacho alielewa
nielewesheni nami nataka kujua kutoka kwa mkuu yellow eyesAlielewa nini? na mimi nielewesheni
Yellow eyes ndo mimi ngoja niwaeleweshe sasanielewesheni nami nataka kujua kutoka kwa mkuu yellow eyes
safi mkuu changamoto kwenye maisha ya mahusiano zipo na zinatatulikaYellow eyes ndo mimi ngoja niwaeleweshe sasa
Huyu bi dada ilibidi tufikishane kwny baraza la watu wa hekima wakatushauri vizuri kabisa hatimae nae akaelewa akawa hanifanyii upuuzi tena na mambo yakaenda safi
Zinatatulika kweli mkuu hasa unapoamua kuwa serious kwenye mambo ya msingisafi mkuu changamoto kwenye maisha ya mahusiano zipo na zinatatulika
msingi mzuri wa mahusiano ni uaminifu na kuwa muwazi kwa mwenzio pale anapokukwaza na sio kukaa na jambo moyoniZinatatulika kweli mkuu hasa unapoamua kuwa serious kwenye mambo ya msingi
Moyoni mwangu kumejaa simanzimsingi mzuri wa mahusiano ni uaminifu na kuwa muwazi kwa mwenzio pale anapokukwaza na sio kukaa na jambo moyoni
Moyoni mwangu kumejaa simanzi
Wanyonge kudhulumiwa ni kitu cha kawaida!Simanzi sana wajanja wanapo dhulumu wanyonge
Kawaida Sana siku hizi kusikia mkubwa kaibwa au kapoteaWanyonge kudhulumiwa ni kitu cha kawaida!
Kusiko julikana na watu wasio julikanaKapotea na kwenda kusikojulikana
Kusiko julikana na watu wasio julikana
Wako ktk ujenzi wa taifaJulikana kwanza ili tujue ujasiri wako
Taifa stars kesho watacheza saa ngapi?Wako ktk ujenzi wa taifa
Taifa stars kesho watacheza saa ngapi?
Na robo? Mbona hujanitajia saaNgapi ni kipimo cha idadi, nadhani ni mapema tu
na robo