Mkuu pitia vzuri nyuzi za wengine huo uzi upo humu na umeshakwenda mbali sana sijui tu jinsi ya kuunganisha hapa lakini upo vema mod wakakupeleke huko directly ukaendelea kukoment!
Wa mwisho ndio mshindiKazi gan uzi kama huu upo unaitwa wa mwisho ndio mshindi unaendana na huu
Asante kwa kumalizia zaidiWa mwisho ndio mshindi
Since June 29, 2012
pole mkuu wameshauunganisha*Let us have funny*
Uzi huu ni maalumu kwaajiri ya kutunga sentensi kwa kuanza na neno la mwisho la mtu alietangulia kuweka sentensi yake
Mfano ..
Member A: JF kuna raha
Member B; Raha jipe mwenyewe
Member C; Mwenyewe naweza kufanya......
Unaruhusiwa kurudia mara nyingi uwezavyo
Shukrani mkuu sikujua kama inafanana asee!pole mkuu wameshauunganisha
Sorr mkuu sikuwahi kuufatilia huuKazi gan uzi kama huu upo unaitwa wa mwisho ndio mshindi unaendana na huu
aisee! ndio hivyo siku nyingine unapotaka kupost thread mpya jaribu ku-search nyingine kama zina maudhui yanayolandana/fanana au LaaShukrani mkuu sikujua kama inafanana asee!
unakaba hadi penati unakera sanaSana-sana zinaendelea kufungwa,usawa unakaba
Nikweli boss sikujua kama kuna uzi kama huu tena... samahaniniMkuu pitia vzuri nyuzi za wengine huo uzi upo humu na umeshakwenda mbali sana sijui tu jinsi ya kuunganisha hapa lakini upo vema mod wakakupeleke huko directly ukaendelea kukoment!
Sana sana itabidi tuombe miujiza kwa Mungu.unakaba hadi penati unakera sana
Pamoja sana bossaisee! ndio hivyo siku nyingine unapotaka kupost thread mpya jaribu ku-search nyingine kama zina maudhui yanayolandana/fanana au Laa
Mungu mkubwaSana sana itabidi tuombe miujiza kwa Mungu.
Mungu ni mwema sana ametujalia uzima bila kulipa hata senti tanoSana sana itabidi tuombe miujiza kwa Mungu.
Boss wangu mkali sana hadi nakosa raha ya kuperuzi jamviniPamoja sana boss
Jamvini kunawageni,wageni wapenda ubwabwa.Mungu ni mwema sana ametujalia uzima bila kulipa hata senti tanoBoss wangu mkali sana hadi nakosa raha ya kuperuzi jamvini
Jamvini ni sehumu nzuri sana kulia chakulaMungu ni mwema sana ametujalia uzima bila kulipa hata senti tanoBoss wangu mkali sana hadi nakosa raha ya kuperuzi jamvini
Chakula bora huliwa na sadiki na sio chitemo.Jamvini ni sehumu nzuri sana kulia chakula
Chitemo alikua mvivuChakula bora huliwa na sadiki na sio chitemo.