dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Yako mengi ambayo hujui kuhusiana na ccmLipi jema ukitendewa utaridhika na nafsi yako
Yako mengi ambayo hujui kuhusiana na ccmLipi jema ukitendewa utaridhika na nafsi yako
Wanaccm wote vichwa boxCCM ni chama cha wanaccm
Box la kubebeaWanaccm wote vichwa box
Kazi ya siasa imenishinda; kudanganya watu siwezi ; nikisema ukweli nawindwa ka mnyama eti msalitiAu umesha staafu kazi....
Kubebea vichwa vya wana CCM wote unahitaji box moja tu Mkuu?Box la kubebea
Mkuu huwezi kuandika bila kukashifu mtu au chama fulani, naona kama haipendezi vile!Kubebea vichwa vya wana CCM unahitaji box moja tu Mkuu?
Vile vile ilivyoMkuu huwezi kuandika bila kukashifu mtu au chama fulani, naona kama haipendezi vile!
Vile vile ambavyo na wao hawapendi unavyowafanyia wewe kisa unatoka chama dolaMkuu huwezi kuandika bila kukashifu mtu au chama fulani, naona kama haipendezi vile!
Dola ni dola, uzi huu ungependeza zaidi kama haukupelekwa huko!Vile vile ambavyo na wao hawapendi unavyowafanyia wewe kisa unatoka chama dola
Huko lazima twende CCM ndiyo imetufikisha hapaDola ni dola, uzi huu ungependeza zaidi kama haukupelekwa huko!
Hapo wapo na kule wapo sasa wapi tujificheHuko lazima twebde CCM ndiyo imetufikisha hapa
Tujifiche ili iwejeHapo wapo na kule wapo sasa wapi tujifiche
Tujifiche sehemu salama hawa CCM si wa kuwaaminiHapo wapo na kule wapo sasa wapi tujifiche
Iweje au isiwe, hoja CCM inatugawaTujifiche ili iweje
Kikabila kimeshaanza kushimiri....Inatugawa kiukanda na kikabila
Kushamiri kwa hama hama ya madiwani na wabunge kwa sababu ya kumuunga mkono raisi ni kioja kikubwa kuwahi kutokea in my life time...Kikabila kimeshaanza kushimiri....
Time ikifika utanitafute nikupe jibu...!!Kushamiri kwa hama hama ya madiwani na wabunge kwa sababu ya kumuunga mkono raisi ni kioja kikubwa kuwahi kutokea in my life time...