Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mzima kabisa. Mimi siyo shilawadu swahiba wewe unajua
Unajua huwa nashangaa sana swahiba ila nataka siku moja nijiridhishe kweli tuko hivyo mana kama sasa tuna jina wanatupa kule kwenye interview za muosha rungu hadi saa nyingine huwa nabaki mdomo wazi.
 
Back
Top Bottom