Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,106
- 122,492
Kujishughulisha kwenyewe ili kupata kipato zaidi kwa baadhi ya watu hakupo kwa sababu ya kutegemea mishahara kila mwisho wa mwezi.Ukizisaka ngawira ndo kujishughulisha kwenyewe.
Kujishughulisha kwenyewe ili kupata kipato zaidi kwa baadhi ya watu hakupo kwa sababu ya kutegemea mishahara kila mwisho wa mwezi.Ukizisaka ngawira ndo kujishughulisha kwenyewe.
Mwezi huu lazima nikuoneKujishughulisha kwenyewe ili kupata kipato zaidi kwa baadhi ya watu hakupo kwa sababu ya kutegemea mishahara kila mwisho wa mwezi.
Nikuone usivyoendana na ushilawadu. Mzima?Mwezi huu lazima nikuone
Mzima kabisa. Mimi siyo shilawadu swahiba wewe unajuaNikuone usivyoendana na ushilawadu. Mzima?
Unajua huwa nashangaa sana swahiba ila nataka siku moja nijiridhishe kweli tuko hivyo mana kama sasa tuna jina wanatupa kule kwenye interview za muosha rungu hadi saa nyingine huwa nabaki mdomo wazi.Mzima kabisa. Mimi siyo shilawadu swahiba wewe unajua
Albadir ilikuwa zamani bwana siku hizi ni usanii mtupuWazi wazi jamaa watasoma albadir
majirani nao huwa na hila zao za ajabu ajabu huwezi kuaminiAlbadir isikie tuu kwa majirani
Kuamini kwamba unaweza kutembea juu ya maji kwataka moyo!majirani nao huwa na hila zao za ajabu ajabu huwezi kuamini
Moyo kazi yake kubwa kusukuma damu na sio vinginevyoKuamini kwamba unaweza kutembea juu ya maji kwataka moyo!
Vinginevyo unaweza kufa kabla ya siku zakoMoyo kazi yake kubwa kusukuma damu na sio vinginevyo
Zako habari ninazoVinginevyo unaweza kufa kabla ya siku zako
Habari ninazo kuwa wewe ni mmoja wa ile timu naniliuZako habari ninazo
Naniliu ile naniliu ni hatari sanaHabari ninazo kuwa wewe ni mmoja wa ile timu naniliu
Hatari sana hasa kwa watoto wadogoNaniliu ile naniliu ni hatari sana
Wadogo zangu hamjambo?Hatari sana hasa kwa watoto wadogo
Wadogo zangu hamjambo?
Wana jamii hatujambo bukheri wa afya. Mzima?Hamjambo wote humu na hali ni gani wana jamii?