bbc
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 3,836
- 4,152
Tutaonana nikija
Nikija kesho je?
Tutaonana nikija
Je! Leo umekamilisha ratiba yako, jiulize kabla ya kulalaNikija kesho je?
Kulala mchana unapunguza usingizi wa usikuJe! Leo umekamilisha ratiba yako, jiulize kabla ya kulala
Usiku ni wakati mzuri kuchatKulala mchana unapunguza usingizi wa usiku
Usiku ni wakati mzuri kuchat
Tunapunguza stress kimtindoKuchat muda kama huu na kuendelea, yaani baada ya mihangaiko ya mchana kutwa nakuunga mkono angalau tunapunguza stress!




   




Kimtindo mtindo uzi haufiki mwishoTunapunguza stress kimtindo
  
![]()
Mwish mtasema mimi sionekani hapaKimtindo mtindo uzi haufiki mwisho




   




Hapa hapa jukwaani? Sio kweli bana. Kaka ake Mzima?Mwish mtasema mimi sionekani hapa
  
![]()
Mzima madame emmy. Hili jina nimekumbuka ule wimbo wa eminata wa Ali choki mzee wa mafarasi enzi hizoooHapa hapa jukwaani? Sio kweli bana. Kaka ake Mzima?
Hizooo zoye ni mbwembwe tu akhyMzima madame emmy. Hili jina nimekumbuka ule wimbo wa eminata wa Ali choki mzee wa mafarasi enzi hizooo




   




Akhy D ni kaka yangu mwingine wa Kizanzibar ambaye nshamzowea mie na yeye anajua pia. Mzima kaka alibakari.Hizooo zoye ni mbwembwe tu akhy
  
![]()
Alibakari yuko poa kabisa, sijuiwewe dada akeAkhy D ni kaka yangu mwingine wa Kizanzibar ambaye nshamzowea mie na yeye anajua pia. Mzima kaka alibakari.




   




Dada ake nimemuona pia. Mi sijambo kabisa namshukuru allah.Alibakari yuko poa kabisa, sijuiwewe dada ake
  
![]()
Allah atuzidishie.Dada ake nimemuona pia. Mi sijambo kabisa namshukuru allah.




   




Atuzidishie kila la kheri na atuepushie na kila la shari.Allah atuzidishie.
  
![]()
Shari la mjinga ni makelele kwa mwelevuAtuzidishie kila la kheri na atuepushie na kila la shari.
Mwelevu ndio mwerevu si ndio
Kama ulijua nilikuwa napambanisha kati ya mwelevu na mwerevuMwelevu ndio mwerevu si ndio



ila mshindi akawa mwelevu..