Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,107
- 122,495
Unayempenda wewe anajua kweliWapi ulikutana nae unayempenda
Unayempenda wewe anajua kweliWapi ulikutana nae unayempenda
Kweli inapodhihiri uongo hujitengaUnayempenda wewe anajua kweli
Hujitenga kama maji na mafutaKweli inapodhihiri uongo hujitenga
Mafuta ya Petroli au dizeli?Hujitenga kama maji na mafuta
Mafuta ya Petroli au dizeli?
Dizeli imepanda beiMafuta ya Petroli au dizeli?
Bei haijapanda ila tutegeme kupanda baada ya kupitishwa bajetiDizeli imepanda bei
Huu ni msimu wa mavunoBei ya vitu nawasiwasi vitapandaa Sana Mana serikali imepitisha bajeti ngumu Sana Msimu huu
Mavuno hayajavunwa tunangoja mpaka yakaukeHuu ni msimu wa mavuno
Yakauke kama bustani za postaMavuno hayajavunwa tunangoja mpaka yakauke
Posta niliwahi kutumiwa hela, ilichukua muda wa wiki moja ndio nikazipataYakauke kama bustani za posta
Nakizipata wap... Na zilikuwa za nnPosta niliwahi kutumiwa hela, ilichukua muda wa wiki moja ndio nikazipata
Nini Mkuu!!! UnanichanganyaNn hii uliyoandika? Au ulimaanisha nini.
Unanichanganya sana unapoandika maneno kwakuacha baadhi ya herufi!Nini Mkuu!!! Unanichanganya
Maana siwezi kuibadilisha Kwan kiswahili kinaeleweka au wewe ni muhamiajiUnanichanganya sana unapoandika maneno kwakuacha baadhi ya herufi!
Hujui kwamba una badilisha maana?
Muhamiaji wa kutoka nchi gani?Maana siwezi kuibadilisha Kwan kiswahili kinaeleweka au wewe ni muhamiaji
Gani tenaa Mkuu.. TumuulizeMuhamiaji wa kutoka nchi gani?