Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

"Huku kijijini hakuna kazi zaidi ya kujiajiri shambani wanangu naomba muelewe hilo kabla sijafa"

baba Kanyuki aliyasema maneno yale huku akimtazama Kanyuki mtoto pekee wa kiume aliyekuwa kalala ktk mkeka asubui ile.
Asubuhi ile sitakuja kuisahau niliyopitiwa na usingizi hadi nikachelewa kufanya mambo yangu kwa wakati
 
Nitafika hivi punde!
Kwanza nianze kuwasalimu wapenzi wa huu uzi, Habari zenu wote, ni matumaini yangu wote ni wazima na mnaendelea kunufaika na Oksijeni ya bure ambayo haiihitaji hata MB kuipata.
Kupata fursa ya kumuona jf member ni ngumu kuliko kwenda US bila Visa
 
Back
Top Bottom