Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mshale na mkuki ni vitu viwili tofauti.
Tofauti ya Great thinker na Bashite ni katika kujenga hoja!
Habari zenu wote wapenzi wa uzi, ama nafarijika sana kurejea tena humu baada ya pilikapilika za kutwa nzima, nimefuatilia mchuano kuanzia nilipouacha jana usiku hadi sasa hivi, for real I have enjoyed much the conversation to the maximum point!

Sasa twende pamoja hadi kieleweke
 
Tofauti ya Great thinker na Bashite ni katika kujenga hoja!
Habari zenu wote wapenzi wa uzi, ama nafarijika sana kurejea tena humu baada ya pilikapilika za kutwa nzima, nimefuatilia mchuano kuanzia nilipouacha jana usiku hadi sasa hivi, for real I have enjoyed much the conversation to the maximum point!

Sasa twende pamoja hadi kieleweke
Kieleweke vipi wakati bashite wanazid mtaani
 
Wewe pia mzima Da emmyta! Mimi namshukuru Mungu naendelea kufaidi oksijeni bila kulipia
Kulipia vyoo vingine vya kulipia mijini ni kama hasara kwa mlipiaji, usafi hauridhishi!
 
Back
Top Bottom