Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Kupokezana ndiyo demokrasia sahihi na uungwana wa kujitawala !!madaraka raha yake kupokezana
Kupokezana ndiyo demokrasia sahihi na uungwana wa kujitawala !!madaraka raha yake kupokezana
Kujitawala!! Wakati bado mnatawaliwaKupokezana ndiyo demokrasia sahihi na uungwana wa kujitawala !!
mnatawaliwa na fikra za kizamani wakati damu mpya na changa ipo tayari kutumika!!Kujitawala!! Wakati bado mnatawaliwa
kutumika vipimnatawaliwa na fikra za kizamani wakati damu mpya na changa ipo tayari kutumika!!
Vipi wewe mbona haujatokea leokutumika vipi
leo nilibanwa na kaziVipi wewe mbona haujatokea leo
Kazi gani za kukufanya unisahau yani weweleo nilibanwa na kazi
wewe nawe uliponikosa maeneo mbona hukunipigia simuKazi gani za kukufanya unisahau yani wewe
Simu yangu ilikata chaji nilikasirikajewewe nawe uliponikosa maeneo mbona hukunipigia simu
nilikasirikaje kukutumia message, nikapata delivery note kwamba umepokea na umesoma message yangu still hukujibuSimu yangu ilikata chaji nilikasirikaje
Hukujibu pia ule ujumbe wa yule daktari wa wazazi lizynilikasirikaje kukutumia message, nikapata delivery note kwamba umepokea na umesoma message yangu still hukujibu
Hukujibu pia ule ujumbe wa yule daktari wa wazazi lizy
mimi ninaongoza, wengine wanafuataHujambo, nimeikumbuka ile sauti ya mama wa BBC hujambo mimi ni
Wanafuata mkumbo tu ila mimi nasema walale pema peponi ndugu zangu waliotutoka tena leo Arusha. Aminamimi ninaongoza, wengine wanafuata
Amina. Na tuzidi kuomba Mungu awape nguvu na uvumilivu wazazi, walezi, ndugu, jamaa na marafiki waliopoteza wapendwa wao katika ajali hiyoWanafuata mkumbo tu ila mimi nasema walale pema peponi ndugu zangu waliotutoka tena leo Arusha. Amina
Hiyo ni tofauti na ajali ya watoto kuna wengine leo watano wamefarikiAmina. Na tuzidi kuomba Mungu awape nguvu na uvumilivu wazazi, walezi, ndugu, jamaa na marafiki waliopoteza wapendwa wao katika ajali hiyo
Wamefariki wanafunzi, walimu na Dereva wao.Hiyo ni tofauti na ajali ya watoto kuna wengine leo watano wamefariki
Wao ni nani mpaka wasije kwenye huu uzi tuwaite kwa nguvu member wote waje hukuWamefariki wanafunzi, walimu na Dereva wao.