Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Hujalala na wewe eee,mm nililala mda uleule sichelewag kulala si unajua naamka alfajiri,nmeamka nakuta post ziko two hrs before au na ww hukulala ,kama ulikesha unambie tu nijue
Nijue km unafanya kaz 24/7, mm ndo nimeamka sa iv for swalaah, and then I will go back to sleep. Lkn c unajua ñna maradh yanaitwa jf syndrome yn nikiamka tu lazima nipite hapa kwanza nijiliwaze
 
Nijue km unafanya kaz 24/7, mm ndo nimeamka sa iv for swalaah, and then I will go back to sleep. Lkn c unajua ñna maradh yanaitwa jf syndrome yn nikiamka tu lazima nipite hapa kwanza nijiliwaze
Nijiliwaze kwa jf huku nashuulika na kazi zngn,mm pia nmeamka for swalah nmemaliza kusali tu nmeidakia jf
 
JF ya kufurahisha, inabidi mpunguze.

Msiache mengine ya maisha, hilo mlichunguze.

Ujana wenu usije kwisha, udaku wa JF muupunguze.

Kalamu wino umekwisha, kwa uzee wangu msiniuguze.
Msiniunguze kwenye jiraha,ambalo mwanzo lilinipa raha.
Hakika sipendi karaha,napenda kua na staha.
Babu yetu umeamua kutuletea mistari,wacha nianze kuikariri
 
Msiniunguze kwenye jiraha,ambalo mwanzo lilinipa raha.
Hakika sipendi karaha,napenda kua na staha.
Babu yetu umeamua kutuletea mistari,wacha nianze kuikariri
Kukariri si muhimu, kwenye kurusha mistari.

Fuata yako majukumu, mambo yatakuwa swari.

JF si kitu cha kudumu, usije kupewa mahari.

Na mluo kutoma Kisumu, asiyesema habari.
 
Habari ziko dhahiri,watu hukariri
Wengine huja kwa shari,pasipo kujihadhari.
tunapenda kupandisha munkari,pasipo kutafakari.
 
Back
Top Bottom