Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,825
Kabisa bora ulivonikumbusha,kwani ulisikia wapi jamani nmesaliti?Muhimu saana ni kutokusalitiana hasa wewe nakukumbusha kabisaa

Kabisa bora ulivonikumbusha,kwani ulisikia wapi jamani nmesaliti?Muhimu saana ni kutokusalitiana hasa wewe nakukumbusha kabisaa

Kabisa bora ulivonikumbusha,kwani ulisikia wapi jamani nmesaliti?![]()
teh achana na hayo. Eeeh niambie za huko ulikoUliko ww kwanza lazma nijue kama ni kwema au mafuriko ,huku niliko ni mambo bomba kabisateh achana na hayo. Eeeh niambie za huko uliko
Kabisa wewe nakuona sio wa kisport sport. Kwangu pia kwema sema ugonjwa wangu rangi ya mtume na jina lako sasaUliko ww kwanza lazma nijue kama ni kwema au mafuriko ,huku niliko ni mambo bomba kabisa
Sasa si ndo mwanzo wa kujuana huku,rangi ya mtume ndo ipi hioKabisa wewe nakuona sio wa kisport sport. Kwangu pia kwema sema ugonjwa wangu rangi ya mtume na jina lako sasa

Sasa si ndo mwanzo wa kujuana huku,rangi ya mtume ndo ipi hio![]()
![]()
![]()


unanitania wewe, ni rangi nyweupe bwanaBwana sasa nlikua sjui si ndo mana nkakuuliza,umeipendea nini kaka daby,mbona iko kawaidaunanitania wewe, ni rangi nyweupe bwana

Bwana sasa nlikua sjui si ndo mana nkakuuliza,umeipendea nini kaka daby,mbona iko kawaida![]()
wacha tu sema mambo mengine hayatakagi ujuajiUjuaji wa nini tena,si useme tuwacha tu sema mambo mengine hayatakagi ujuaji
una mambo weweWewe hapa kuna watoto na mama Wakwe sitaki kunukuliwa vibayaUjuaji wa nini tena,si useme tu![]()
una mambo wewe
Vibaya ndo vipi jamaniWewe hapa kuna watoto na mama Wakwe sitaki kunukuliwa vibaya
unamuogopa nani kwaniKwani wewe upo wapi kwanza kabla hatujafika mbali?Vibaya ndo vipi jamani![]()
unamuogopa nani kwani
vibaya hivyo Daby, we shauri yakoWewe hapa kuna watoto na mama Wakwe sitaki kunukuliwa vibaya
Mbali na hayo,mimi niko mji tulivu na pendwa,sjui wewe kaka Daby upo wapi kwa sasaKwani wewe upo wapi kwanza kabla hatujafika mbali?
Sasa hivi nipo mji tajwa katikati ya viunga vyakeMbali na hayo,mimi niko mji tulivu na pendwa,sjui wewe kaka Daby upo wapi kwa sasa
Vyake ni vyake ,hataki share na mtu,hata wewe hutaki sema upo wapiSasa hivi nipo mji tajwa katikati ya viunga vyake
Wapi wewe unataka kunirubuni tu. Mbona wewe haujasemaVyake ni vyake ,hataki share na mtu,hata wewe hutaki sema upo wapi
Haujasema kwanza wewe,hahaha au unamuogopa mkwe atakusemeaWapi wewe unataka kunirubuni tu. Mbona wewe haujasema
mie ntasema mda ukifikaUkifika saa ngapi? Haya umekwisha fika tiririka ebuHaujasema kwanza wewe,hahaha au unamuogopa mkwe atakusemea![]()
mie ntasema mda ukifika
We shauri yako umeshindwa kuendana na kasivibaya hivyo Daby, we shauri yako