Serafinitesha
Member
- May 2, 2017
- 8
- 4
UNA MAANA GANI MKUU ME MGENI
UNA MAANA GANIha ha ha usikejeri mawazo ya wana jukwaa!!
Mgeni ukiingia ni busara kubisha hodi, huu uzi kama unavyosomeka kwenye kichwa cha habari naomba urudi ukurasa wa kwanza ili usome maelekezo halafu utaweza kwenda sambamba na sisiUNA MAANA GANI MKUU ME MGENI
sisi maria no geto wahala... nimeimba kidogoMgeni ukiingia ni busara kubisha hodi, huu uzi kama unavyosomeka kwenye kichwa cha habari naomba urudi ukurasa wa kwanza ili usome maelekezo halafu utaweza kwenda sambamba na sisi
Kibaba au kimama?Kidogo kidogo hujaza kibaba
Kimama mama na kibaba baba ilinipa wachumba wengi sana utotoni.Kibaba au kimama?
Utotoni tulikuwa tuna penda tuwe wakubwa haraka na sasa ukubwani tunatamani ujahilia !!!Kimama mama na kibaba baba ilinipa wachumba wengi sana utotoni.
Ujahilia ni kipindi ambapo watu walikuwa hawana imani na muumba wao, wakawa wanaya abudia masanamu waliyoyatengeneza waoUtotoni tulikuwa tuna penda tuwe wakubwa haraka na sasa ukubwani tunatamani ujahilia !!!
Wao na ujinga ni kama kukalia kuti kavu !!Ujahilia ni kipindi ambapo watu walikuwa hawana imani na muumba wao, wakawa wanaya abudia masanamu waliyoyatengeneza wao
Kavu amekalia bashiteWao na ujinga ni kama kukalia kuti kavu !!
Bashite ni jipu jipya kutoka KoromijeKavu amekalia bashite
Koromije itoe shukrani kwa Bashite, Ameipandisha chati.Bashite ni jipu jipya kutoka Koromije
Chati na mkulu umwambie movie tumezichoka, abadilishe mfumo huku mtaani hali si swari, naona kama dunia inazunguka kinyume mwendo saaKoromije itoe shukrani kwa Bashite, Ameipandisha chati.
Chati na mkulu umwambie movie tumezichoka, abadilishe mfumo huku mtaani hali si swari, naona kama dunia inazunguka kinyume mwendo saa
Sio tu mwendoka saa hata mwendokas angeongeza pia kuliko sehemu chache wanajitapiaChati na mkulu umwambie movie tumezichoka, abadilishe mfumo huku mtaani hali si swari, naona kama dunia inazunguka kinyume mwendo saa
Wanajitapia maana yake tafadhaliSio tu mwendoka saa hata mwendokas angeongeza pia kuliko sehemu chache wanajitapia
Tafadhari usijaliWanajitapia maana yake tafadhali
Umenipata vipi wakati una vyeti fekiTafadhari usijali
kujitapia= (kujitapa) sijui umenipata
Vyeti aah mkuu kwanza funga breki sio kwa hizo resiUmenipata vipi wakati una vyeti feki
