Itakuwa wa kabisa kwa wanyonge, na sio kwa watawala.Kikamilifu katika namna ambayo itakuwa wazi kabisa
Watawala wanatakiwa kuwa makini juu ya uongozi waoItakuwa wa kabisa kwa wanyonge, na sio kwa watawala.
Wao wameshashiba lkn wanatutesa sisi wenye njaaWatawala wanatakiwa kuwa makini juu ya uongozi wao
Njaa mbaya sana, inasababisha watu kukana misimamo yao na elimu zao.Wao wameshashiba lkn wanatutesa sisi wenye njaa
Zao la karafuu Zanzibar limekosa kuwakomboa na umaskini wakulima wa zao hilo badala yake serikali pekee ndio inayonufaikaNjaa mbaya sana, inasababisha watu kukana misimamo yao na elimu zao.
Inayonufaika sana na mamilioni ya kodi zetu katika nchi hii ni Faru FaustaZao la karafuu Zanzibar limekosa kuwakomboa na umaskini wakulima wa zao hilo badala yake serikali pekee ndio inayonufaika
Faru Fausta na Faru John ni viumbe waliozaliwa na bahati kubwaInayonufaika sana na mamilioni ya kodi zetu katika nchi hii ni Faru Fausta
Kubwa lao ni nyangumi na wala siyo tembo !!Faru Fausta na Faru John ni viumbe waliozaliwa na bahati kubwa
Tembo ni neno lenye maana mbaya sana MakunduchiKubwa lao ni nyangumi na wala siyo tembo !!
Makunduchi ni jina au tafsida, tujuze kwanza?Tembo ni neno lenye maana mbaya sana Makunduchi
Kwanza makunduchi ni kijiji kiliopo kusini mwa ZanzibarMakunduchi ni jina au tafsida, tujuze kwanza?
Zanzibar ni njema atakae na ajeKwanza makunduchi ni kijiji kiliopo kusini mwa Zanzibar
Aje leo aje aje na wenzake aje, ni nyimbo niipendayo ya alikibaZanzibar ni njema atakae na aje
Aje au iweje.. ikiwa babu yangu alitokea huko nami ntafikaje Zenjibar ?!?Zanzibar ni njema atakae na aje
Zenjibar ni neno ambalo limetohoa neno la kisayansi linaloitwa Zingiber officinaleAje au iweje.. ikiwa babu yangu alitokea huko nami ntafikaje Zenjibar ?!?
Officinale ni kurasimisha...!!Zenjibar ni neno ambalo limetohoa neno la kisayansi linaloitwa Zingiber officinale
Zingiber officinale kwa jina lingine ni gingerZenjibar ni neno ambalo limetohoa neno la kisayansi linaloitwa Zingiber officinale
Offinale na zingiber yana maana gani ? Na kama kweli neno zanzibar limetoholewa kutoka kwa hayo maneno basi tudhibitishieZenjibar ni neno ambalo limetohoa neno la kisayansi linaloitwa Zingiber officinale
Tudhibitishie sio neno la kiswahili labda cha kwenu huko utokakoOffinale na zingiber yana maana gani ? Na kama kweli neno zanzibar limetoholewa kutoka kwa hayo maneno basi tudhibitishie