Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,194
Jokate ni mtoto wa jirani yangu wa namtumboSongea kwa kina jokate
Jokate ni mtoto wa jirani yangu wa namtumboSongea kwa kina jokate
Jokate mwegelo a.k.a kidoti scandal kwake ni adimu kama pesa za TanzaniaSongea kwa kina jokate
Tanzania pesa zake sio adimu ila zina thamani ndogo kama demu aliyepigwa mtungoJokate mwegelo a.k.a kidoti scandal kwake ni adimu kama pesa za Tanzania
Mtungo naoujua Mimi ni wa samaki wabichi tukiwavua mtoni tunawabebanisha hayo mengine ni yako mkuuTanzania pesa zake sio adimu ila zina thamani ndogo kama demu aliyepigwa mtungo
Mtungo si kitu kizur mazee uwezekano wa kupata vvu ni 90%Tanzania pesa zake sio adimu ila zina thamani ndogo kama demu aliyepigwa mtungo
Mkuu kwa usawa huu wa magu haujui kubana matumizi utakuwa umerogwaMtungo naoujua Mimi ni wa samaki wabichi tukiwavua mtoni tunawabebanisha hayo mengine ni yako mkuu
Umerogwajee nawe upo full kukiachia...Mkuu kwa usawa huu wa magu haujui kubana matumizi utakuwa umerogwa
Umerogwa wewe mtu gani wewe usiesikiliza ushauri unajikuta ndugu yake na yesu( in Ney's voice)Mkuu kwa usawa huu wa magu haujui kubana matumizi utakuwa umerogwa
Yesu alifufuka juzi tu sasa hivi amepunga upepo kwa baba yetuUmerogwa wewe mtu gani wewe usiesikiliza ushauri unajikuta ndugu yake na yesu( in Ney's voice)
Baba yetu ulie mbinguni jina lako.... Mh wakuu yesu anapunga upepo huyu Daby ana utani na sisi huyuYesu alifufuka juzi tu sasa hivi amepunga upepo kwa baba yetu
Huyu huyu ndie abaehusika na ujambaziBaba yetu ulie mbinguni jina lako.... Mh wakuu yesu anapunga upepo huyu Daby ana utani na sisi huyu
Ujambazi wa kuteka watu sio mbayaHuyu huyu ndie abaehusika na ujambazi
Ujambazi wa kupora au wakutoa mashuziHuyu huyu ndie abaehusika na ujambazi
Mashuzi bila harufu nikama pancha bila mpasukoUjambazi wa kupora au wakutoa mashuzi
Hakuna wakubwa kwenu mfyuuuuuu jiheshimuMashuzi ndio lugha gani hiyo mkuu tafsida hakuna
Mkuu wa mkoa wa D ni kilaza eti? Nauliza tu jamaniJiheshimu uheshimiwe mkuu
Jiheshimu au ajiadibishe au ajirekebishe ?Hakuna wakubwa kwenu mfyuuuuuu jiheshimu
Jamani huyo mtu marufuku kumzungumziaMkuu wa mkoa wa D ni kilaza eti? Nauliza tu jamani