Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Wote kama siyo wengi wao wanaotoka kigoma ni wachawi
Wachawi kwa Wachawi hujuana hahhahaha jamaaa yangu niaje, mtu mwenye matarajio ya kuwa presda 2020 mpaka tufike hapo tutakua tumeshazisoma namba mpaka basi
 
Wakuu wa uvinza hahhahaha gbefa niaje ndugu yangu, nasikia ndugu yangu unapenda mambo ya uvinza
Mambo ya uvinza wanapenda wakubwa kama wewe Mimi bado labda miaka michache ijayo nitaanza ngoja niongezeke kiuchumi na kimo kidogo kwema lakini kaka
 
Mambo ya uvinza wanapenda wakubwa kama wewe Mimi bado labda miaka michache ijayo nitaanza ngoja niongezeke kiuchumi na kimo kidogo kwema lakini kaka
Kaka kwema kabisa, tunamshukuru Mungu kwa kutupa pumzi...
 
Back
Top Bottom