Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mkubwa Mungu tu, hope nyote mmeamshwa salama. Mie nawahi kibaruani
Kibaruani ukienda mwambie yule boss wako, maswala yakukuweka mpaka usiku akijifanya atakulipa overtime hata mimi nitakulipa overtime uje nyumbani mapema sawa?
 
Sana sana kuna jamaa humu ndani ana wivu wa kijinga sana nimemgundua, wewe jamaa acha wivu sawa, halafu sakayo ni mke wangu ukinuna ndiyo anazidi kunipenda, lakini wivu mbaya jamani kahhhhh
Khahhhhh, nani tena ana wivu jamani!!! Au ni wewe wajisemea
 
Back
Top Bottom