Tiba yangu ni ww gbefa.... Fanya mambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] (joke)Huwezi kupona ng'o nani amekuambia hivyo me napona labda kama muumba hayupo, imani yangu ndio tiba yangu
Huyu kadanganya ng'o na ng'oaaa ni sawa??!Ng'oooooa jino utupe
Jokes like this mh! This can no longer funnier[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] am speechless..Tiba yangu ni ww gbefa.... Fanya mambo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] (joke)
Hahahaha..Naona umejivika ukichaa au hujaelewa nn kinaendelea kwenye huu uzi!?Huwezi kupona ng'o nani amekuambia hivyo me napona labda kama muumba hayupo, imani yangu ndio tiba yangu
Sawa Ila wewe ndio unaharibu sasaHuyu kadanganya ng'o na ng'oaaa ni sawa??!
Speechless[emoji15] sorry ka nime kupepelushia ndege wakoJokes like this mh! This can no longer funnier[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] am speechless..
Kivip?Sawa Ila wewe ndio unaharibu sasa
Wako katika ujenzi wa taifa gbefa gbefa, wewe huyo ndege hata kutua hajatua acha kuniwitch bhanah kama vipi nisaidie kutafuta mkuu I will be thankfulSpeechless[emoji15] sorry ka nime kupepelushia ndege wako
I will be thankful if you will date my young sis...... Kwa jinsi hyo tutanogesha upendo shemelaWako katika ujenzi wa taifa gbefa gbefa, wewe huyo ndege hata kutua hajatua acha kuniwitch bhanah kama vipi nisaidie kutafuta mkuu I will be thankful
Kanona kuliko mwandani???Shemela wangu kanona
Mwandani wangu sijampata bado Ila kwa kudra za muumba I will find her someday ishaallahShemela wangu kanona
Na wewe pia mkuu and we love you, sweet dreams.All beauty faces nawatakia jioni muruwa...!
Shemela wetu nani kwani tusijepigwa vibao humu bure Mimi mtoto wa jf mpoleI will be thankful if you will date my young sis...... Kwa jinsi hyo tutanogesha upendo shemela
Mpole usiwe na wasiwasi..... Niko kwa relationship na freedom (single)Shemela wetu nani kwani tusijepigwa vibao humu bure Mimi mtoto wa jf mpole
Mkuu nitumie nitafurahi sanaSingle mpya yangu narekodi hapa kwa simu ikimalika nakutumia mkuu
Sana mkuu itakuwa bomba ngoja nifanye yanguMkuu nitumie nitafurahi sana