T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
Teh teh unanikejeri ma kunicheka kwa ushamba??Mubashara tena tehteh![]()
![]()
![]()
Ushamba ni kuamin kua watu wa mikoani ni washamba tofauti ma was dar ilihali was dar 85% wametokea mikoani nawashangaa sana sasa cjui mshamba ni yupi kati ya hawa wawiliTeh teh unanikejeri ma kunicheka kwa ushamba??
Wawili ni heri kuliko mmoja..Ushamba ni kuamin kua watu wa mikoani ni washamba tofauti ma was dar ilihali was dar 85% wametokea mikoani nawashangaa sana sasa cjui mshamba ni yupi kati ya hawa wawili
Mmoja wao ni mie !!!Wawili ni heri kuliko mmoja..
Chochote kitu cha halaliMmoja yupi sasa wakati MTU kaja dar akiwa na 18 years anajitafutaaaa akishapata chumba vingunguti na jeans mbiki za dukan na tishert mbili za karume,anajiona ye mjanja kulko aliowaacha kule alikotoka,mbaya zaid akikutana na wale wa kimboka buku mbili unakula mzigo aaaah humwambii chochote
kwako imekula vibaya ....Halali kwangu haramu kwako
vibaya kwa wote sio yeye tukwako imekula vibaya ....
kwako haramu ni sumuHalali kwangu haramu kwako
Sumu ya penzi ukushairamba hata kwa maziwa huwezi kuponakwako haramu ni sumu
Mungu pekee ndilo tumaini lilobaki kwa Watanzia, kwani watawala hawana msaada wanathamini faru kuliko raiaKupona Ukimwi inawezekana ukiweka imani ya mwenyz mungu
Raia wa Marekani wamegawanyika baada ya uchaguzi !!!Mungu pekee ndilo tumaini lilobaki kwa Watanzia, kwani watawala hawana msaada wanathamini faru kuliko raia
Uchaguzi ujao sidhani kama nitashirikiRaia wa Marekani wamegawanyika baada ya uchaguzi !!!
Nitashiriki shughuli zote za maendeleo kuinua taifa langu zuriUchaguzi ujao sidhani kama nitashiriki
Zuri linahitaji kufagiliwa na kupaliliwa ili liweze kushimiri ...!!Nitashiriki shughuli zote za maendeleo kuinua taifa langu zuri
Kushamiri tutashamiri hivi pundeZuri linahitaji kufagiliwa na kupaliliwa ili liweze kushimiri ...!!
Punde unapokuwa ukitazama TV hutokea hii BREAKING NEWS hapo moyo hulia paaah!!Kushamiri tutashamiri hivi punde