T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
Jamii ya Nyani Ngabu ni Paka NgabuTamuuu hiyo ni id ya mmoja humu jamii
Jamii ya Nyani Ngabu ni Paka NgabuTamuuu hiyo ni id ya mmoja humu jamii
Quigley anakupenda Aishah![]()
![]()
![]()
ivi Quigley maana yake ni nn? Na lina tamkwajeMtwara pale mikindani niliwahi kufika wakati flaniLodge ipi yenye manadhari nzuri maeno ya Mtwara
Mkuu kwangu kwema sana sijui wewe uliyepo umbali wa macho yanguLeo nalala bila nguo
Blaki Womani vipi kwema mkuu
Flani au fulani bi mkubwaMtwara pale mikindani niliwahi kufika wakati flani
Akinipokea ntakwambia... Wewe ulifika hukutaka kutafuta wenyeji,hukuona umuhimuKwenu nilifika mwanzoni mwa January 2017 Lakini hukunikaribisha mwee.. Sasa na ahadi kufika kwa akina Blaki Womani akinipokea..
Nchii hii kuna wanaofaidi rasilimali zake na wengine wanapata taabu na mateso mengiKwetu ni Bukoba,kwa sasa nipo makao makuu ya nchi
Umuhimu ulipaswa wewe mwenyeji kujituma kumkirimu mgeni.... au ndiyo excusee za kiTZ kani usinigeuzie kibao...!!!!! (nilisota)Akinipokea ntakwambia... Wewe ulifika hukutaka kutafuta wenyeji,hukuona umuhimu
Umuhimu kwangu ni kulala mapema uck mwema wapendwa wote kwenye hii threadAkinipokea ntakwambia... Wewe ulifika hukutaka kutafuta wenyeji,hukuona umuhimu
Thread hii inanifundisha mantiki ya kimaisha..Umuhimu kwangu ni kulala mapema uck mwema wapendwa wote kwenye hii thread
Kibao unakigeuza wewe.... Usitake nimwage yaliyojificha humu.Umuhimu ulipaswa wewe mwenyeji kujituma kumkirimu mgeni.... au ndiyo excusee za kiTZ kani usinigeuzie kibao...!!!!! (nilisota)
humu ni pangu na pako tuwe watu wazima....Kibao unakigeuza wewe.... Usitake nimwage yaliyojificha humu.
Tano sita na saba (567) ni password ya akaunti..Pesa mkuu anasema simnaita jero sasa nataka muite sh Mia tano
Tamkwa! Tamka Kigli na maana yake mtu mwanana![]()
ivi Quigley maana yake ni nn? Na lina tamkwaje
Yangu ndogo sana wala haiumiziMkuu kwangu kwema sana sijui wewe uliyepo umbali wa macho yangu

Yangu ndogo sana wala haiumizi
Mimi niko poa sana tu mkuu Blaki Womani ila nimezongwa na upweke unaofanya nikukumbuke picha yako usoni inanifanya chozi linitoke![]()
mbona km unananihii?weka mambo mubasharaa..