Wa mwisho ndiyo mshindi

Sawa wapi mkuu, yani unakuja nakuondoka mkuu, hujuwi kama kuna muda unapaswa kutenga kwajili ya marafiki mkuu?
 
Alipo saanane hawezi mtu kujua labda muwaulize saasaba na saatisa coz hao ndo wanaonekanaga kuwa karibu na huyo jamaa
 
Akionekana nitamuuliza mkuu, maana ben Saanane naye ametuweka wananchi roho juu, Ngalikihinya au unajua alipo,
Alipo saanane hawezi mtu kujua pacha labda muwaulize saasaba na saatisa coz hao ndo wanaonekanaga kuwa karibu nae daily
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…