gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,807
- 15,846
Huyo basi anakufaa sana ngoja na Mimi nianze kutafuta wangu mapema maana tangu kidato cha NNE kitambo sanaWewe tu na mawazo yako, yeye karidhia iwepo hana shida huyo
Huyo basi anakufaa sana ngoja na Mimi nianze kutafuta wangu mapema maana tangu kidato cha NNE kitambo sanaWewe tu na mawazo yako, yeye karidhia iwepo hana shida huyo
Sana pambana mkuu, wako utamtengeneza wewe Mwenyewe ndugu. Hiyo avatar yako imenikumbusha machunguHuyo basi anakufaa sana ngoja na Mimi nianze kutafuta wangu mapema maana tangu kidato cha NNE kitambo sana
Zangu mie ni kula unga,Ngada tamu ndio nini kwani ndugu zangu
Zangu mie ni kula unga,Ngada tamu ndio nini kwani ndugu zangu
hizi siku watu hawana ankaraNgada inapigwa marufuku mtaani
Nne ni namba nzuri Sana hasa kwa wale wataalamu wa nyotaAnkara nakumbuka zilikuwa ni hesabu za darasa la nne
Asubuhi sana imeng'aa kwangu , niulize kwanini ili ujumuike nami katika furaha kuu ya leoNyota njema huonekana toka asubuhi
Leo ni ciku nzuri kwanguAsubuhi sana imeng'aa kwangu , niulize kwanini ili ujumuike nami katika furaha kuu ya leo
..kwangu Ilkuwa mbaya vbaya sanaLeo ni ciku nzuri kwangu
Sana sana imesababishwa na kuamka pasipo kum kumbuka mola wako..kwangu Ilkuwa mbaya vbaya sana
Wako upande kesho itakuwa nzuri usikate tamaaSana sana imesababishwa na kuamka pasipo kum kumbuka mola wako
Tamaa ya kuwa na siku njema ni dhumuni la kila mmoja wetuWako upande kesho itakuwa nzuri usikate tamaa
Mmoja wetu atashinda hii threadTamaa ya kuwa na siku njema ni dhumuni la kila mmoja wetu
Thread hii kuishinda , yahitaji uvumilivu piaMmoja wetu atashinda hii thread
Pia uwe na juhudiThread hii kuishinda , yahitaji uvumilivu pia
Pia uwe na bando daily la sivyo utapotea km supermarket just kiddingThread hii kuishinda , yahitaji uvumilivu pia
