mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,553
Wengi wananipenda kwa ucheshi na jinsi najichanganya na watuWangu mkubwa kweli na unapendwa na wengi
Sasa sjui ulimanisha nn
Wengi wananipenda kwa ucheshi na jinsi najichanganya na watuWangu mkubwa kweli na unapendwa na wengi
Nyie kuna msiba member mwenzetu amefarikiJamiiForums watu hawalali na hasa nyie
Nyie viumbe achane kupiga kelele nipo huku nachunwa buziJamiiForums watu hawalali na hasa nyie
Alale akipata usingizi pengine hayuko sawa ndio maana bado unamuona lol nimecheeeekaJamiiforums ndiyo yumo humu humu na ananichora tu muda huu maana hajalala japo aliniaga kuwa anausingizi anataka alale.



acha kumzinguaNini tena kimekuthibu ndugu yangu maana umecheza mechi chini ya kiwangoWengi wananipenda kwa ucheshi na jinsi najichanganya na watu
Sasa sjui ulimanisha nn
Kumzingua nitaendelea kumzingua mpaka pale atapojua kuwa na mpenda na namhitaji pia.Alale akipata usingizi pengine hayuko sawa ndio maana bado unamuona lol nimecheeeekaacha kumzingua
Vipi tena bbc hulali mkuuKiwango katika viwango vipi?
Pia ufaham waongo ni wengi nahisi hakuamini labdaKumzingua nitaendelea kumzingua mpaka pale atapojua kuwa na mpenda na namhitaji pia.
Kiwango hicho vipiNini tena kimekuthibu ndugu yangu maana umecheza mechi chini ya kiwango
Vipi nn na weee lalaKiwango katika viwango vipi?
Labda itakuwa hivyo ila kwa upande wangu siwezi kuwa muongo kwake maana tayari kashanikaa kunako.Pia ufaham waongo ni wengi nahisi hakuamini labda
Kulala sie baadae sanaaMkuu nitalala nyie mkiamua kulala
Kulala sasa mimi hamna sababu nipo mpweke tu nakufa na utamu wangu kama muwa.Mkuu nitalala nyie mkiamua kulala
Mwili roho na sura umevijuaje au mlishawah kuwasiliana hapo kabla don't judge the book by its cover sweetheart!!!Labda itakuwa hivyo ila kwa upande wangu siwezi kuwa muongo kwake maana tayari kashanikaa kunako.
Ningependa anielewe tu kuwa nampenda na nakoswa usingizi kwa ajili ya kumuwaza yeye tu kwa jinsi alivyo mzuri sura, roho na mwili.
Sana nakupenda mamaafacebookKulala sie baadae sanaa
Ushaamka na wewe? Me usingizi umepaaKulala kwako mamaafacebook II kws mashaka mara hii ushamka!
Mamaafacebook nasema asanteee na nakupenda piaSana nakupenda mamaafacebook