Tanzania ni nchi yenye amaniNi - hiki ni kiunganishi katika sentensi na kuleta maana iliyokusudiwa,
Mfano: wa kiunganishi "ni " katika sentensi,
1. Mhemishiwa dkt: john pombe joseph magufuli ni rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania.
AloveraShubiri kwa lugha ya Kiingereza ni??
Tanzania ni nchi ya asali na maziwa lakini kuna majambazi wamepoteza Ben Saa nane na faru John Pembe MaarufuNi - hiki ni kiunganishi katika sentensi na kuleta maana iliyokusudiwa,
Mfano: wa kiunganishi "ni " katika sentensi,
1. Mhemishiwa dkt: john pombe joseph magufuli ni rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania.
Amani ni kitendo cha kuonesha upendo na utu ikiwa pamoja na kusaidiana katika jambo fulani bila ya mvurugano au fujo kutokea baina ya watu au koo au wananchi katika jamii husika.Tanzania ni nchi yenye amani
Maarufu ni kitendo cha mtu au watu au inawezekana ikawa kiumbe hai na kisicho hai kuweza kufahamika zaidi kutokana na sifa zake au jambo fulani na kupelekea kujulikana hata kupendwa au kutopendwa.Tanzania ni nchi ya asali na maziwa lakini kuna majambazi wamepoteza Ben Saa nane na faru John Pembe Maarufu
Kutopendwa ni kitu cha kawaida ktk maishaMaarufu ni kitendo cha mtu au watu au inawezekana ikawa kiumbe hai na kisicho hai kuweza kufahamika zaidi kutokana na sifa zake au jambo fulani na kupelekea kujulikana hata kupendwa au kutopendwa.
Kutopendwa na watu hutokana na hulka mbaya ya mhusikaMaarufu ni kitendo cha mtu au watu au inawezekana ikawa kiumbe hai na kisicho hai kuweza kufahamika zaidi kutokana na sifa zake au jambo fulani na kupelekea kujulikana hata kupendwa au kutopendwa.
Maisha yatakuwa na changamoto hasa ukitengwa na familiaKutopendwa ni kitu cha kawaida ktk maisha
Maisha ni mfumo wa kiumbe hai kuweza kustahimili na kuishi katika sayari ya tatu ijulikanayo kama dunia, katika maisha kuna matabaka mbali mbali hususani jamii ya mwanadamu.Kutopendwa ni kitu cha kawaida ktk maisha
Mhusika ni mtu aliyekusudiwa.Kutopendwa na watu hutokana na hulka mbaya ya mhusika
Aliekusudiwa kumuua faru john akamatwaMhusika ni mtu aliyekusudiwa.
Hazionekani kwa sababu we hujabaa miwaniAkamatwa akiwa nyeti zake hazionekani
Miwani ndio inasababisha aone nyeti au macho yake mabovuHazionekani kwa sababu we hujabaa miwani
Mkabaji wa niniMabovu ndeswimbira alikuwa mchezaji mahiri katika timu ya yanga mnamo mwaka 1978, alicheza nafasi ya kiungo mkabaji......
Wa nn uyo sio wa kuvumilia shidaMkabaji wa nini
..MwendoKasi ndo mwendo gani ivii??Shida sana kuishi na watu wenye matamko ya mwendokasi