kubwa_Lao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 934
- 1,186
Wakuu wa nchi za ECOWAS wanataka kuichapa GambiaSenene wapo kwetu Bukoba karibuni wakuu
Wakuu wa nchi za ECOWAS wanataka kuichapa GambiaSenene wapo kwetu Bukoba karibuni wakuu
Wakuu wanapenda senene kama mimi, senene na ugali wa muhogo ni afya teleSenene wapo kwetu Bukoba karibuni wakuu
Keshapatikana faru john??Tusije tukagombana kisa kutafuta mshind ambae keshapatikana
Hapa hapa uniambie hivi benn sanane bado hakuna dalili za kumpata cadre wetu, naomba vyombo husika, mamlaka husika ziingilie kati hili saga cadre wetu tumpateTena nakumbuka mwanzisha uzi kachukia kisa mm ndio mshindi wa mwisho hapa
Joni bbcJohn ni kwa Kiingereza kwa Kiswahili tunaita Joni
Wakuu zuleykha ametukaribisha senene, mimi atug kashaniletea najiandaa hapa nikazichukueSenene wapo kwetu Bukoba karibuni wakuu
Lini utaenda shambani?My dear Mimi na wewe sio lazima tusubiri valentine... Sikuku ya wakubwa na kupanga tu iwe lini
Shambani kule bondeni kuna ng'e na kenge wengi......Lini utaenda shambani?
Kenge wengi, kama si wote, ni mafala kabisa... wanakimbia matone ya mvua na kutumbukia mtoni mwili mzima..Shambani kule bondeni kuna ng'e na kenge wengi......
Mzima ni mtu aliyehaiKenge wengi, kama si wote, ni mafala kabisa... wanakimbia matone ya mvua na kutumbukia mtoni mwili mzima..
Kifo kisikie kwa mwenzioAliye Hai hawezi kujua uchungu wa kifo
Mwenzio alinyolewa wewe rowanisha mapema, wembe ukupitie.....!!😛Kifo kisikie kwa mwenzio
Povu la bahari ni kama mtu huzungumza maneno mengi bila matendo....!!Thread ya wamwaga povu.
umesikia taarifa kupatikana kwa Ben 8?Povu la bahari ni kama mtu huzungumza maneno mengi bila matendo....!!
Matendo ndo mpango maneno mbwembwePovu la bahari ni kama mtu huzungumza maneno mengi bila matendo....!!