Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
Nilivyo sio ulivyo weweHivyo unionavyo ndivyo nilivyo
Nilivyo sio ulivyo weweHivyo unionavyo ndivyo nilivyo
Nilivyo mimi huwa nawaogopaga sana wanawake wanaovaa uninja, maana hatujuwi yupi ni gaidi yupi siyo,Hivyo unionavyo ndivyo nilivyo
Siyo wote ni magaidi, wengine ni watu wa imani na wanatii sheria za Mungu kwa kujisitiri vizuriNilivyo mimi huwa nawaogopaga sana wanawake wanaovaa uninja, maana hatujuwi yupi ni gaidi yupi siyo,
Yatapatikana maendeleo gani kwa taifa kama tuna watu vituko sampuli yakoZ
zetu dua, labda mabadiriko yatapatikana
Vizuri ungenielewa na kusoma vizuri ndipo useme, nilisema vazi la uninja linatuchanganya kwakuwa hatujui aliyevaa yupi ni gaidi na yupi sioSiyo wote ni magaidi, wengine ni watu wa imani na wanatii sheria za Mungu kwa kujisitiri vizuri
Siyo kila umuonae ndiye !!!Vizuri ungenielewa na kusoma vizuri ndipo useme, nilisema vazi la uninja linatuchanganya kwakuwa hatujui aliyevaa yupi ni gaidi na yupi sio
Sio wote wanavaa kwa ajili ya kujisitiriVizuri ungenielewa na kusoma vizuri ndipo useme, nilisema vazi la uninja linatuchanganya kwakuwa hatujui aliyevaa yupi ni gaidi na yupi sio
Ndiye au siye anajua Mungu, habari za asubuhi nduguSiyo kila umuonae ndiye !!!
Ndiye zamiluni huyo, anapenda viserengeti huyo, anavilea kweli viserengetiSiyo kila umuonae ndiye !!!
Siyo lazima kuamini Kila unachokionaNilivyo mimi huwa nawaogopaga sana wanawake wanaovaa uninja, maana hatujuwi yupi ni gaidi yupi siyo,
Vizuri sana nimepanda jibu lako!! Jazaka llah khairSiyo wote ni magaidi, wengine ni watu wa imani na wanatii sheria za Mungu kwa kujisitiri vizuri
Viserengeti anaevilea ni Zamiluni ama? Wanaume wengi siku hizi wanapenda miteremko na kulelewa. Mnaitwa viserengeti.. Sasa hivi mtaitwa vimikumiNdiye zamiluni huyo, anapenda viserengeti huyo, anavilea kweli viserengeti
Ndiye wewe Yule kaka yangu ktk imaaanSiyo kila umuonae ndiye !!!
Kujistiri n lazima Kwa Kila mwanamke kwenye dini yanguSio wote wanavaa kwa ajili ya kujisitiri
Vimikumi n vile vimbuga vidogovidogo why umeviita vimikumi sasaViserengeti anaevilea ni Zamiluni ama? Wanaume wengi siku hizi wanapenda miteremko na kulelewa. Mnaitwa viserengeti.. Sasa hivi mtaitwa vimikumi
Sasa wanaume wanaolelewa wanaitwa Viserengeti,ndo maana nikasema kwa kupenda huko miteremko na kulelewa mwishowe wataitwa vimikumi badala ya viserengetiVimikumi n vile vimbuga vidogovidogo why umeviita vimikumi sasa
Unachokiona huwa sio kweli asilimia mia bali hutoa tasfiri fulaniSiyo lazima kuamini Kila unachokiona
Viserengeti sio ni wanaume tu bali hata wanawake pia, viserengeti ni neno la msimu linalo toa maana dogo dogo siunajuwa dogo dogo huwa hawakupi presha, ila kumbuka you are against law, ukibambwa unawekwa kizuiziniSasa wanaume wanaolelewa wanaitwa Viserengeti,ndo maana nikasema kwa kupenda huko miteremko na kulelewa mwishowe wataitwa vimikumi badala ya viserengeti
Viserengeti vya kike vitamu sana, hasa kwa watu wazima kama mimiSasa wanaume wanaolelewa wanaitwa Viserengeti,ndo maana nikasema kwa kupenda huko miteremko na kulelewa mwishowe wataitwa vimikumi badala ya viserengeti
Kizuizini utawekwa kama huyo Serengeti ni under 18Viserengeti sio ni wanaume tu bali hata wanawake pia, viserengeti ni neno la msimu linalo toa maana dogo dogo siunajuwa dogo dogo huwa hawakupi presha, ila kumbuka you are against law, ukibambwa unawekwa kizuizini