Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
ukhuty na yeye usikute hajui maana ya nayayaMaelezo kwakweli ni mhimu ukhuty
ukhuty na yeye usikute hajui maana ya nayayaMaelezo kwakweli ni mhimu ukhuty
Nayaya ni lugha ya kitoto akimaanisha nalalaukhuty na yeye usikute hajui maana ya nayaya
Fresh kabisa karibu tenaMaelezo yangu kwann nilikimbia Jana usiku, spidi ilikuwa Kali supermarket alikuwa mbele alifata ukhuty na sakayo nyuma me nikala kona Ila Leo nipo fresh
Nipo fresh sana hata mimi, yani kama janaMaelezo yangu kwann nilikimbia Jana usiku, spidi ilikuwa Kali supermarket alikuwa mbele alifata ukhuty na sakayo nyuma me nikala kona Ila Leo nipo fresh
Jana na wewe ulikuwa unakimbiza sana, ila leo naona una uchovuNipo fresh sana hata mimi, yani kama jana
Peke yangu au peke yako, na wewe sijui huwa unalala saa ngapi maana wewe ndo mfunga jukwaaUchovu uliwazidi mkaniachia uwanja peke yangu
Mwisho kubaya weweJukwaa hili kila siku kweli mim ndo nakuwa wa mwisho
Wewee!usimtishe ukhuty mwisho sio ubaya mwisho ni ushindiMwisho kubaya wewe
Kwangu network inasumbua jamaniUshindi umekuja kwangu
Mimi nafikiri hamna mshindiJamani mshindi mimi
Mshindi hawezi kupatikana heri tukubalianeMimi ndio mshindi
Mshindi hawezi kupatikana DaimaMimi ndio mshindi