Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,139
Na hii foleni utafika kesho. Rudi na shkamoo yako.
Uwiiiii!!!!!!
Kuna siku utaiomba hii
Na hii foleni utafika kesho. Rudi na shkamoo yako.
Hotate naneeeeei!
Zafanana?
Poor me!Ha ha haaa, hizo zilikufa kitambo sana, tushazisahau
Its okk with me...you better hurry up
Wa ivo naoa kabisa na hasa baada ya kupima nae ngoma.
Knock knock.....!!!!
Nkimjua mkeo lazima nimchanje
Amelipia laana na mikosi aliyokuachia. Subiri mambo yako yatakavyokuwa yanaenda sasa.
Hapo mkuu unakuwa hujaoa, bali umeolewa.
Here we gooooo
Vita yetu ni PM. Mi namtongoza kule Ennie ananibania tu. sasa mie nifanyeje wkt mama yangu ni mwanamke kama yeye.