Wa hivi ni wachache sana; uwahi?

Wa hivi ni wachache sana; uwahi?

Amelipia laana na mikosi aliyokuachia. Subiri mambo yako yatakavyokuwa yanaenda sasa.

Af G bhana... khaa!!

Mwambie kabisa wengine huwa wanatoa hela ya mchango wa sanda na jeneza kiaina. Hawasubiri mpaka ufe.
 
Huna haja ya kuweka vihunzi, ntaviweka mwenyewe.

BTW lile limbwata nlokuletea uniwekee limeshaisha? Nahisi kama nauli ya kwenda gulioni Katerero inakuwa ngumu kuipata.

How much?
 
yani ulikula mzigo afu kakupa kilo 2 na chain dah , kazi kweli , there was a friend tangu ameolewa alikuwa na mtoto mmoja na mumewe hakuwahi kutoka nje ya ndoa ila mume wake alikuwa pumbu free zipu nje akamletea dada wa watu maambukizi angalia aiseee
 
Af G bhana... khaa!!

Mwambie kabisa wengine huwa wanatoa hela ya mchango wa sanda na jeneza kiaina. Hawasubiri mpaka ufe.

Umeona eeh, si bure ni dharau. Hata kama kiroho safi, huwezi fanya kihivyo saana utamnunulia an expensive gift. Anapaswa astuke, asijisifie.
 
Thats my girlie. Marhabaa kwa herufi kubwa na ndogo. Jiandae nakupitia tukale sato wa kuchoma.... Utakunywa nini?

Pitia store ya vinywaji nunua zanzi bottle then uje twenzetu
 
Yaani kujuana kwenye fb hadi kukandamizana? No time to waste?? Mie naogopa japo ndio lengo la kila dume. Ila kwa nini hukutumia dume?? Ulijiamini sana take care bro!!"
 
Pitia store ya vinywaji nunua zanzi bottle then uje twenzetu

Well, sina sababu ya kupitia store, ile ya siku ile hukuimaliza. Ipo stock ya kutosha. Ila leo uniruhusu na mimi nigonge grants. Kama kuchoka acha tuchoke wote safarini. Wasemaje?
 
Well, sina sababu ya kupitia store, ile ya siku ile hukuimaliza. Ipo stock ya kutosha. Ila leo uniruhusu na mimi nigonge grants. Kama kuchoka acha tuchoke wote safarini. Wasemaje?

Its okk with me...you better hurry up
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom