Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,437
Janja janja nimeacha siku hizi..tatizo we huniamini kabisaaaaa
Hahah huaminiki kama treni ya Mwakyembe.
Janja janja nimeacha siku hizi..tatizo we huniamini kabisaaaaa
Thubutuuuuu!!! Tena ole wako uitoe mimba nliyokukabidhi.
utaolewa!!!! Shauri yako na hadithi zako. Haya hongera Mpwa usijesema Nina wivu....
Mbona umechelewa kunionya?
Chenji ya shopping ya Christmas ndio imefanya hiyo kazi
Sitaki tena shkamo yako.
Ukijitahidi, mbona mie mwepesi tu?
Lakini wapo
Umchanje???
Hahahahahah lazma nimchanje
Mkuu hii conclusion yako imeniacha hoi, yaan ndio umegoma kumwelewa mkuu tutor B?kwa umri wako inafaa uote ndoto za aina hiyo...ila nakushauri fanya mazoezi ya viungo.....
Mengine yapi tena?