Wanaoleta vyoo vya kukaa wanafanya makusudi au hawajui specifications za vyoo aina ya 'non splash symphonic' hasa vile toka Uingereza, TYFORD UK (sio tyford vya China) havina hilo tatizo.Habari wakuu,natumai mko vyedi kabisaa katika harakati za kusaka noti.Niende kwenye point,hivi karibuni nilikuja hapa jf nikaandika uzi wa kutafuta chumba so baada ya muda nikapata,sasa kimbembe hii room ina choo cha kukaa (KINU).
kiukweli toka nizaliwe sijawahi kuishi nyumba yenye choo cha aina hii,hivyo matumizi yake ni mtihani kwangu.
Kukaa napata shida mara ndonga iingie kwenye maji,mara mzigo ukishuka kwa uzito wa hali ya juu unasababisha mlipuko wa maji yananirukia makalioni dah,yani napata tabu sana kifupi mpaka nimekua nikienda kutumia choo cha kuchutama kwa rafiki yangu wa karibu.
Kazi njema wote.
Yani wewe kama mimi ivo ivo!!Hata mimi sivihusudishi .
Nyumbani kwangu, inanibidi kurudi public toilet badala ya master ambamo imo hiyo ya kukaa
No! Choo cha kukaa kwa public hapana!Nani asiyependa kustarehe wakati wa kujisaidia?? Sio siri choo cha kukaa kina raha yake!!yaani unaweza shusha mzigo huku unasoma gazeti.....ninachokiona humu ni wachangiaji wengi hawa afford choo cha kukaa ndyo maana wanapeana moyo kuwa choo cha kuchuchumaaa ndyo kizuri!!
Unaongelea choo kisafi, hebu kutana na kichafu kwanza...Duh tuko kinyume aisee, mm choo cha shimo sikipendi kabisa. Cha kukaa unastarehe sana taratibu bila haraka. Hata dakika 15
Hahahhahha mkuu siku hyo sijui ungetokaje bila kubahatika na mkono kugusa kidudeMwenzangu nilikaa kama lisaa hivi natafuta maji si unajua uswahilini kwetu shimo huna haja ya maji
Katika kufikiriaaa aaa nikaona wasinitanie ikabidi nichote maji na jagi nililikuta toi mwagia wapi!! Daah
Nikitoka na choo ni cha ndani lazima watajua ni mm,ikabidi niweke mkono juu nifikilie kwa makini nifanyaje
Lahaula kumbe nilipoweka mkono paka bonyea sehemu nikaona maji hayo aaaa wacha ninogewe nikaendelea na zoezi la kubonyeza hahaha.
Vipi kuhusu maswala ya kujisafisha mkuu tupe darasa hapoNani asiyependa kustarehe wakati wa kujisaidia?? Sio siri choo cha kukaa kina raha yake!!yaani unaweza shusha mzigo huku unasoma gazeti.....ninachokiona humu ni wachangiaji wengi hawa afford choo cha kukaa ndyo maana wanapeana moyo kuwa choo cha kuchuchumaaa ndyo kizuri!!