Vyoo vya kukaa vimenishinda

Vyoo vya kukaa vimenishinda

Kwanza ukikaa mzigo autoki wote labda kam unahara lakn kwa ssi wanaume wa mkoan lazm tujikunje
 
Vipi kuhusu maswala ya kujisafisha mkuu tupe darasa hapo
Kuna kitu kinaitwa shattaf .....kibomba kidogo kinatoa maji kwa kasi sana ukiingia kwenye hicho choo utakiona kipo pembeni
 
Inategemea na mwili wako. Kama una uzito huwezi kutumia choo cha kuchuchumaa. Mama mjamzito hawez kuchuchumaa! Usafi wako tu!

Baghosha! toka lini mama mjamzito akashindwa kuchuchumaa? achana na hawa wajawazito wa kileo wanaojidekeza tu! Tena kuchuchumaa ni kuzuri kwa mjamzito maana mzito unashuka bila kuhitaji nguvu nyingi ya kukamua, choo cha kukaa hataweza kutoa mzigo wote!
 
Choo kama hiki halafu baadae wanalalamika mabwabwa wengi....
IMG_20181103_152450.jpg
 
Inategemea na mwili wako. Kama una uzito huwezi kutumia choo cha kuchuchumaa. Mama mjamzito hawez kuchuchumaa! Usafi wako tu!
Unachosema ni tofauti na nilichomaanisha. Hebu google. Mi nazungumzia kuna matatizo ya kiafya na si kiuzito au mwili wa mtu
 
ha ha ha ha ha
JF burudani sana kwakweli
ila aisee mimi pia huwa siwezi kutumia vyoo vya aina hiyo
 
sivipendi hasa nyakati za baridi. kama wasiwas wako maji cha kufanya uwe unasoge kwa mbele kidogo ili mzigo uwe unafikia kwenye kale ka sakafu kabla mzigo haujafika kwenye maji.

ikishindikana nunua pepa za kutosha kabla hujakata gogo kata hizo TP weka kwenye hayo maji kisha shusha mzigo wako inapunguza kidogo.

swala linaluja kujisafisha huko kwa maji ... inabidi kusubiri wakat wa kuoga qudadeq
Acha ujinga mkuu Yan ukikata gogo kwenye vyoo vya kukaa kujisafisha n mpaka ukienda kuoga duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea na mwili wako. Kama una uzito huwezi kutumia choo cha kuchuchumaa. Mama mjamzito hawez kuchuchumaa! Usafi wako tu!
Kwa wale wanaojua maumivu ya gout... Gout ikikukamata kwenye magoti, choo cha kukaa utakiona kama mkombozi wa wazima na wafu.
 
Back
Top Bottom