hahahahaaaaaa,kufikia jumatano wananchi wote kwny mkoa wangu mfute nyimbo za kwaito kwny simu zenu,sitaki upuuzi,hahahaaaaaHahaha yani sahivi watasema hadi tufute nyimbo za singeli
Sasa hapo unaogopa nn. Inamaa hujawai kunya ndani ya mto au hata ziwani??





HahahhaahahahHahahha binafsi sijambi nikiwa na mpenzi
Tanguliza toilet paper kabla hujaanza kushusha mzigo


kweli zitamsaidia kuzuia huo mlipuko wa maji anaosema au atumie ile slope ya choo kutelezesha mzigo usitue kwa kishindokweli zitamsaidia kuzuia huo mlipuko wa maji anaosema au atumie ile slope ya choo kutelezesha mzigo usitue kwa kishindo
Asante kwa elimu ndugu Mr Q
Habari wakuu,natumai mko vyedi kabisaa katika harakati za kusaka noti.Niende kwenye point,hivi karibuni nilikuja hapa jf nikaandika uzi wa kutafuta chumba so baada ya muda nikapata,sasa kimbembe hii room ina choo cha kukaa (KINU).
kiukweli toka nizaliwe sijawahi kuishi nyumba yenye choo cha aina hii,hivyo matumizi yake ni mtihani kwangu.
Kukaa napata shida mara ndonga iingie kwenye maji,mara mzigo ukishuka kwa uzito wa hali ya juu unasababisha mlipuko wa maji yananirukia makalioni dah,yani napata tabu sana kifupi mpaka nimekua nikienda kutumia choo cha kuchutama kwa rafiki yangu wa karibu.
Kazi njema wote.








































Sasa hapo unaogopa nn. Inamaa hujawai kunya ndani ya mto au hata ziwani??







































Duh nitapanda juuu tu kama walivyoshauri wakuu hapa