Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
We kweli mzalendo. Church goer. Mosque goerKipindi nasoma Udsm hostel zilikuwa na vyoo vya kukaa kwa kweli ikinipasa kutumia vyoo vya kanisani na msikitini kwa huu ujinga
We kweli mzalendo. Church goer. Mosque goerKipindi nasoma Udsm hostel zilikuwa na vyoo vya kukaa kwa kweli ikinipasa kutumia vyoo vya kanisani na msikitini kwa huu ujinga
😀😀😀😀 so ikawaje mkuuMara nyingi P-type WC zinakuwa na vibomba vya kujisafisha mkuu... Ila kuna maeneo nilienda havina aisee ilikuwa tabu.
Unapiga na simu kabisa huku unashusha might!Duh tuko kinyume aisee, mm choo cha shimo sikipendi kabisa. Cha kukaa unastarehe sana taratibu bila haraka. Hata dakika 15
😀😀😀😀😀 hivi vyoo vikiwekwa wekwa tu bila kujali utaratibu na mazingira vinageuka hatari kubwa kwa afya.Kulikuwa na a very sof TP mkuu...![]()
Pole sana mkuu... Mdau alitoa idea ya kujaza TPs apo😂😂😂Kuna wakati nilienda nyumbani wa mtu fulani tulikuwa na kazi maalum hapo, nilipoenda toileti nikakuta ni choo cha kukaa, nikakojoa nikasepa. Nilikaa siku tatu bila kwenda haja kubwa ila nikashindwa kuendelea kutokwenda maana ilikiwa tukae wiki 2. Hivyo ili kupunguza madhara nikawa nachuchumaa juu ya sinki ili nisiguse sinki na nisirukiwe na maji, zoezi lilikuwa endelevu hadi naondoka. Vyoo vya kukaa ni vya hovyo sana.
Kabisa afu flushing zake zilikuwa kama gear box😂😂😂😀😀😀😀😀 hivi vyoo vikiwekwa wekwa tu bila kujali utaratibu na mazingira vinageuka hatari kubwa kwa afya.
Hahahahahahaha.....hicho choo huenda kilikuwa made in germany.Kabisa afu flushing zake zilikuwa kama gear box😂😂😂
Tupo wengi mkuu. Huwa sielewi mantiki yake. Unakaa halafu maji yanakurukiahuwa nkikuta vyoo vya public halafu ni vya kukaa, huwa simuelewi kabisa mkandarasi
Kwa vyoo public usijaribu, ila vyoo vya familly ama ofisini viko fresh tuUnapiga na simu kabisa huku unashusha might!
Tunavitumia Ila havifai !!!
Ni vizuri kwa wazee!
Havifai kabisa kwa matumizi ya namna hiyo.Tupo wengi mkuu. Huwa sielewi mantiki yake. Unakaa halafu maji yanakurukia
Ulisha wahi????Sasa hapo unaogopa nn. Inamaa hujawai kunya ndani ya mto au hata ziwani??

Nimecheka sana,umenifurahisha kweli,.ni kweli siyo vzr kiafyaHabari wakuu,natumai mko vyedi kabisaa katika harakati za kusaka noti.Niende kwenye point,hivi karibuni nilikuja hapa jf nikaandika uzi wa kutafuta chumba so baada ya muda nikapata,sasa kimbembe hii room ina choo cha kukaa (KINU).
kiukweli toka nizaliwe sijawahi kuishi nyumba yenye choo cha aina hii,hivyo matumizi yake ni mtihani kwangu.
Kukaa napata shida mara ndonga iingie kwenye maji,mara mzigo ukishuka kwa uzito wa hali ya juu unasababisha mlipuko wa maji yananirukia makalioni dah,yani napata tabu sana kifupi mpaka nimekua nikienda kutumia choo cha kuchutama kwa rafiki yangu wa karibu.
Kazi njema wote.
Hapo zaman niliambiwa wanaume hawanyiHahahhahaa mkuu mtoni ukinya mzigo unaelea tu