Labda huwajui ni mkubwa !!. Once ukimkanyaga hutoa mlio kama feni hivi "FFYYUUU". Hapo gogo litalazimisha kurudi juuTena huyo ndio mzuri kuchambia...
Mwenzangu nilikaa kama lisaa hivi natafuta maji si unajua uswahilini kwetu shimo huna haja ya majiHahahha nitakuja kuanguka bure...mku ilikuaje hebu simuliaaa
watu wa mikoani mnajulikana tu na tabia zenu za kunya hovyo hovyo










Sasa hapo unaogopa nn. Inamaa hujawai kunya ndani ya mto au hata ziwani??
ushazoea wakati wa kunya mpaka upake vilainishi ndo maanaSi tunakula? Lazima tunye. Nyie wa dar kuleni chips snaks mnye povu
Mi choo cha kukaa ndyo mwake!! Nikisafiri kwenye kuchagua lodge sifa mojawapo lazima iwe na choo cha kukaa!Personally napenda choo cha kukaa kwa matumiz binafsi, ila kwa public hapana.
Nakupa ushauri tu wa haraka haraka.
Kuhusu maji kuruka, make sure kabla hujafanya mambo yako kunja toilet paper kiasi then weka ndani ya choo, itayazuia maji kuruka.
Akizeeka atavipendaSubiri umri usogee ndo utajua umuhimu wake.
Haha hata mm najua...Labda huwajui ni mkubwa !!. Once ukimkanyaga hutoa mlio kama feni hivi "FFYYUUU". Hapo gogo litalazimisha kurudi juu
Mimi ni mzaliwa vijijini. Porini cio safe. Najua
Hahhahahah ukiwa unatembea nao ni umama.Umenikumbusha umama thread wewe
Mwanaume kukata gogo akiwa amekaa/amechutama, huo ni umama, mwanaume wa kweli anakata gogo akiwa amesimama au anatembea![]()
Hahhahahah ukiwa unatembea nao ni umama.
Mwanaume hakati gogo maana hali chakula.








Daah I wish nikuone ukiwa unakata ....
Toka hukooo....
Chakula nitakula sana tu



.


Daah I wish nikuone ukiwa unakata .....
Umejua kunichekesha Leo.
I'd za jf zinaficha mengi. Hapo kwenye hali ya kawaida usingeweza hata kusema hivyo.![]()








Basi na Mimi naomba nikujue. Nione kama unafanana na hiyo comment.
Uzuri wanaonijua hadi sasa mmoja tu ndio kaona hiyo comment


Umekumbusha watu mbali sanaSasa hapo unaogopa nn. Inamaa hujawai kunya ndani ya mto au hata ziwani??
Mkuu umefika lini kutoka Kolomije?¡Habari wakuu,natumai mko vyedi kabisaa katika harakati za kusaka noti.Niende kwenye point,hivi karibuni nilikuja hapa jf nikaandika uzi wa kutafuta chumba so baada ya muda nikapata,sasa kimbembe hii room ina choo cha kukaa (KINU).
kiukweli toka nizaliwe sijawahi kuishi nyumba yenye choo cha aina hii,hivyo matumizi yake ni mtihani kwangu.
Kukaa napata shida mara ndonga iingie kwenye maji,mara mzigo ukishuka kwa uzito wa hali ya juu unasababisha mlipuko wa maji yananirukia makalioni dah,yani napata tabu sana kifupi mpaka nimekua nikienda kutumia choo cha kuchutama kwa rafiki yangu wa karibu.
Kazi njema wote.