Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,563
Ngoja nidownload picha ya bonge la handsome ndio nikuruhusu uje PMBasi na Mimi naomba nikujue. Nione kama unafanana na hiyo comment.
Nije pm??![]()





Ngoja nidownload picha ya bonge la handsome ndio nikuruhusu uje PMBasi na Mimi naomba nikujue. Nione kama unafanana na hiyo comment.
Nije pm??![]()





Sawa nasubiriNgoja nidownload picha ya bonge la handsome ndio nikuruhusu uje PM![]()
Mara nyingi P-type WC zinakuwa na vibomba vya kujisafisha mkuu... Ila kuna maeneo nilienda havina aisee ilikuwa tabu.sivipendi hasa nyakati za baridi. kama wasiwas wako maji cha kufanya uwe unasoge kwa mbele kidogo ili mzigo uwe unafikia kwenye kale ka sakafu kabla mzigo haujafika kwenye maji.
ikishindikana nunua pepa za kutosha kabla hujakata gogo kata hizo TP weka kwenye hayo maji kisha shusha mzigo wako inapunguza kidogo.
swala linaluja kujisafisha huko kwa maji ... inabidi kusubiri wakat wa kuoga qudadeq
Heeh hata weweMara nyingi P-type WC zinakuwa na vibomba vya kujisafisha mkuu... Ila kuna maeneo nilienda havina aisee ilikuwa tabu.



mkuu,unatokea namtumbo sehem gani???Habari wakuu,natumai mko vyedi kabisaa katika harakati za kusaka noti.Niende kwenye point,hivi karibuni nilikuja hapa jf nikaandika uzi wa kutafuta chumba so baada ya muda nikapata,sasa kimbembe hii room ina choo cha kukaa (KINU).
kiukweli toka nizaliwe sijawahi kuishi nyumba yenye choo cha aina hii,hivyo matumizi yake ni mtihani kwangu.
Kukaa napata shida mara ndonga iingie kwenye maji,mara mzigo ukishuka kwa uzito wa hali ya juu unasababisha mlipuko wa maji yananirukia makalioni dah,yani napata tabu sana kifupi mpaka nimekua nikienda kutumia choo cha kuchutama kwa rafiki yangu wa karibu.
Kazi njema wote.
SawaSawa nasubiri
Pole sana mkuu! Binafsi ningetafuta chumba kingine, sitaki hivyo vyoo hata kiwe cha chumbani kwangu tu sikitaki. Mqmbo ya kurukiwa na maji ya kwenye sink am sorry bora nikachuchumae sio kutafutiana maradhiHabari wakuu,natumai mko vyedi kabisaa katika harakati za kusaka noti.Niende kwenye point,hivi karibuni nilikuja hapa jf nikaandika uzi wa kutafuta chumba so baada ya muda nikapata,sasa kimbembe hii room ina choo cha kukaa (KINU).
kiukweli toka nizaliwe sijawahi kuishi nyumba yenye choo cha aina hii,hivyo matumizi yake ni mtihani kwangu.
Kukaa napata shida mara ndonga iingie kwenye maji,mara mzigo ukishuka kwa uzito wa hali ya juu unasababisha mlipuko wa maji yananirukia makalioni dah,yani napata tabu sana kifupi mpaka nimekua nikienda kutumia choo cha kuchutama kwa rafiki yangu wa karibu.
Kazi njema wote.