Niko kwenye harakati za kuondoka tu mkuPole sana mkuu! Binafsi ningetafuta chumba kingine, sitaki hivyo vyoo hata kiwe cha chumbani kwangu tu sikitaki. Mqmbo ya kurukiwa na maji ya kwenye sink am sorry bora nikachuchumae sio kutafutiana maradhi
Hahahah mkuu wanasema LAKE MTU HALIMTAPISHI.Panda juu yake tu unakata gogo vizur tu
Mm nlikuwag gest moja mkoan huko nkakuta choo ya kukaa sink lile la njanoo nkaona huu ushenzi nkapanda juu yake nkaachia Mzigo wa maana kuflash sasa kumbe pipe zimezibaa
Harufu chumban sio mchezo nkaona isiwe tabu nkahama gest nkaenda kupanga room nyingine
Mkuu ungevumilia wiki hizo aisee ungevunja rekodinya genesisKuna wakati nilienda nyumbani wa mtu fulani tulikuwa na kazi maalum hapo, nilipoenda toileti nikakuta ni choo cha kukaa, nikakojoa nikasepa. Nilikaa siku tatu bila kwenda haja kubwa ila nikashindwa kuendelea kutokwenda maana ilikiwa tukae wiki 2. Hivyo ili kupunguza madhara nikawa nachuchumaa juu ya sinki ili nisiguse sinki na nisirukiwe na maji, zoezi lilikuwa endelevu hadi naondoka. Vyoo vya kukaa ni vya hovyo sana.
Asante sana mkuuuKa ni cha jamiii..public
1. Chukua toilet paper kiasi dondosha ndani...halafu juu unapokalia zungushia toilet paper
2. Wakati tuko chuo tulikuwa tunasubiri wakimaliza usafi unachukua gazeti unaliweka juu una TOBOA tundu unalengaaa
3. Kuubeba mzigo hadi vyooo vya jirani vya kuchuchumaaaa
4. Kupanda juu ya chooo...ila ni hatariii waweza telezaa ukakanyagaaa (ivi why unaogopa gogo ulilokata mwenyewe?)
5. Kawaida KINU kina mifuniko miwili...(angalia picha mwambato) ..WENGI HATUJUI matumizi ya mfuniko huo wenye tundu?
USHAURI kwa mtoa mada....chukua maji ya motoo weka deto suuza KINUUU..uwe unamwaga deto na viua tilifu mara kwa mara....
Vinu vingine maumbo yake shidaaa...vipo ukikata gogo ladondoka majini..vingine halidondoki majini usipokuwa makini gogo laweza fika karibu na JICHO
Hahahahahahaha....🙂😀😀😀watu wa mikoani mnajulikana tu na tabia zenu za kunya hovyo hovyo
Au ongea na mwny nyumba akubadilishie sink km unapapenda. Sijui kwann watu huwa wanawaza kuwa hiyo misink ndo usasa shiiiit!!!Niko kwenye harakati za kuondoka tu mku
Wanaume wa mikoani bhana.!Mimi nashauri unapanda juu halafu unakaa kama nyani ndipo uanze kuvurumisha magogo,ila uwe macho usije teleza utavunja kiuno.
hahahahaaaaaa,umeshafuta zile video kwny simu yako mkuu???sisi huku mpanda na wale jamaa zangu wa longalombogo kule simiyu hatujaambiwa kufutaHahahhah me mwanaume wa dar mkuu
😀😀😀Mkuu ungevumilia wiki hizo aisee ungevunja rekodinya genesis