Vyoo vya kukaa vimenishinda

Vyoo vya kukaa vimenishinda

Pole sana mkuu! Binafsi ningetafuta chumba kingine, sitaki hivyo vyoo hata kiwe cha chumbani kwangu tu sikitaki. Mqmbo ya kurukiwa na maji ya kwenye sink am sorry bora nikachuchumae sio kutafutiana maradhi
Niko kwenye harakati za kuondoka tu mku
 
Panda juu yake tu unakata gogo vizur tu
Mm nlikuwag gest moja mkoan huko nkakuta choo ya kukaa sink lile la njanoo nkaona huu ushenzi nkapanda juu yake nkaachia Mzigo wa maana kuflash sasa kumbe pipe zimezibaa
Harufu chumban sio mchezo nkaona isiwe tabu nkahama gest nkaenda kupanga room nyingine
Hahahah mkuu wanasema LAKE MTU HALIMTAPISHI.
 
Duh sikuhizi vipo vya kukuosha kabisa unabonyeza kitufe tu maji yanakupiga dah hatari sana sana!
Vina wafaa waliyopo kwenye list ya Dudu baya
Hahaa maji yakiwa yanakulenga si utaanza kuzoea mkuu
 
Kuna wakati nilienda nyumbani wa mtu fulani tulikuwa na kazi maalum hapo, nilipoenda toileti nikakuta ni choo cha kukaa, nikakojoa nikasepa. Nilikaa siku tatu bila kwenda haja kubwa ila nikashindwa kuendelea kutokwenda maana ilikiwa tukae wiki 2. Hivyo ili kupunguza madhara nikawa nachuchumaa juu ya sinki ili nisiguse sinki na nisirukiwe na maji, zoezi lilikuwa endelevu hadi naondoka. Vyoo vya kukaa ni vya hovyo sana.
Mkuu ungevumilia wiki hizo aisee ungevunja rekodinya genesis
 
mbona ishu ipo easy tu mkuu.chakufanya chukua tishu tano au hata sita.then zitumbukize kwenye sink.then kaa na uanze kushusha mzigo wako.kiukwel autorukiwa na maji hata kidogo.
Nitafanya hivyo hakika
 
Ka ni cha jamiii..public
1. Chukua toilet paper kiasi dondosha ndani...halafu juu unapokalia zungushia toilet paper
2. Wakati tuko chuo tulikuwa tunasubiri wakimaliza usafi unachukua gazeti unaliweka juu una TOBOA tundu unalengaaa
3. Kuubeba mzigo hadi vyooo vya jirani vya kuchuchumaaaa
4. Kupanda juu ya chooo...ila ni hatariii waweza telezaa ukakanyagaaa (ivi why unaogopa gogo ulilokata mwenyewe?)
5. Kawaida KINU kina mifuniko miwili...(angalia picha mwambato) ..WENGI HATUJUI matumizi ya mfuniko huo wenye tundu?


USHAURI kwa mtoa mada....chukua maji ya motoo weka deto suuza KINUUU..uwe unamwaga deto na viua tilifu mara kwa mara....
Vinu vingine maumbo yake shidaaa...vipo ukikata gogo ladondoka majini..vingine halidondoki majini usipokuwa makini gogo laweza fika karibu na JICHO
Asante sana mkuuu
 
Mimi nashauri unapanda juu halafu unakaa kama nyani ndipo uanze kuvurumisha magogo,ila uwe macho usije teleza utavunja kiuno.
Wanaume wa mikoani bhana.!

Tabu yote ya nini _Unapanga tofali tu kozi mbili upande wa kulia na kushoto wa sinki mambo yanaenda

Unataka ukose mke eti kisa choo kweli..!
 
Choo cha kukaa ni shida kwa kweli.Ukitakanuone kuwa ni mtihani uwe umebanwa halafu kimba liwe gumu unaweza kusubiria kimba masaa.Lakini choo cha kuchutamaa hata kimba liwe gumu vipi litatoka tyuu.Kingine ni pale umeachia mzigo unasikia twaaapa! Maji yanakurudia tena.Acha niendelee na ushamba huu uzungu umenishinda
 
Vitu vidogo vinaonyesha level ya exposure ya mtu.
Ukienda Ulaya, utakunya wapi? Hakuna Asian toilets popote.
 
Tatizo sio aina ya choo.... Uustaarabu unahitajika kama maji yapo na toiletpaper vipo sioni tabu yeyote... Usafi ni lazima
 
Back
Top Bottom