Tukisema vyombo vya habari nchini Tanzania vina promote Ngono tutakuwa tunakosea?
Huyu Dada baada ya Kutrend na Video zake anazofundisha Ngono mitandaoni kapata nafasi ya kualikwa kwenye Malkia wa Nguvu na kupostiwa kwenye Chombo cha habari kikubwa nchini.
HII NCHI INA VITU VYA AJABU SANA!
✍️Mjanja M1
Huyu Dada baada ya Kutrend na Video zake anazofundisha Ngono mitandaoni kapata nafasi ya kualikwa kwenye Malkia wa Nguvu na kupostiwa kwenye Chombo cha habari kikubwa nchini.
HII NCHI INA VITU VYA AJABU SANA!
✍️Mjanja M1