Vyombo vya habari nchini vina Promote Ngono

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,304
Tukisema vyombo vya habari nchini Tanzania vina promote Ngono tutakuwa tunakosea?

Huyu Dada baada ya Kutrend na Video zake anazofundisha Ngono mitandaoni kapata nafasi ya kualikwa kwenye Malkia wa Nguvu na kupostiwa kwenye Chombo cha habari kikubwa nchini.

Screenshot_20240324-113544.jpg


HII NCHI INA VITU VYA AJABU SANA!

✍️Mjanja M1
 
Hata Kim kardashian kabla ya sextape yake na Ray J hakuwa maarufu ki hivyo
Kim k ni Malaya smart sana, kajua kutumia mwili na umaarufu uchwara wake, aisee mtu ana net worth ya karibu 2b USD mara mbili ya watu talented kama Beyonce....

Wema sepenga wao waliishia kuliwa tu kifala sa ivi sijui ndo anamiliki kile kimbwa manura sijui alichokua anakitafuta
 
Tukisema vyombo vya habari nchini Tanzania vina promote Ngono tutakuwa tunakosea?

Huyu Dada baada ya Kutrend na Video zake anazofundisha Ngono mitandaoni kapata nafasi ya kualikwa kwenye Malkia wa Nguvu na kupostiwa kwenye Chombo cha habari kikubwa nchini.

View attachment 2943309

HII NCHI INA VITU VYA AJABU SANA!

✍️Mjanja M1
Kumbe mchaga ? mchaga na mapenzi wapi na wapi
 
Tukisema vyombo vya habari nchini Tanzania vina promote Ngono tutakuwa tunakosea?

Huyu Dada baada ya Kutrend na Video zake anazofundisha Ngono mitandaoni kapata nafasi ya kualikwa kwenye Malkia wa Nguvu na kupostiwa kwenye Chombo cha habari kikubwa nchini.

View attachment 2943309

HII NCHI INA VITU VYA AJABU SANA!

✍️Mjanja M1
Hii ni nchi ya kiqumer sana
 
".....msikilize Ali Kiba, mapenzi yana run dunia...."

Wachache sana wanaosemekana hawakupitia hiyo mambo dunia.

Mapenzi hayatenganishwi na ngono...weka utaalamu wa lugha pembeni!
 
Sidhazi kama huyo Lilian ni mara ya kwanza kuhudhuria hio malikia wa nguvu na events kibao ni mara kibao tu labda useme kwasababu umemjua baada ya ku trend so kilakitu uta hit Imeishaaaa na ku-trend.
 
Kim k ni Malaya smart sana, kajua kutumia mwili na umaarufu uchwara wake, aisee mtu ana net worth ya karibu 2b USD mara mbili ya watu talented kama Beyonce....

Wema sepenga wao waliishia kuliwa tu kifala sa ivi sijui ndo anamiliki kile kimbwa manura sijui alichokua anakitafuta
NI kimbwa manunu mkuu sio Manura🤣🤣🤣
 
Tukisema vyombo vya habari nchini Tanzania vina promote Ngono tutakuwa tunakosea?

Huyu Dada baada ya Kutrend na Video zake anazofundisha Ngono mitandaoni kapata nafasi ya kualikwa kwenye Malkia wa Nguvu na kupostiwa kwenye Chombo cha habari kikubwa nchini.

View attachment 2943309

HII NCHI INA VITU VYA AJABU SANA!

✍️Mjanja M1
Kweli ni Chombo cha habari
 
Back
Top Bottom