Vyama vya Upinzani vilimtoa Jasho Hayati Magufuli. Je, upinzani ndani ya CCM, Serikali na Vyama vya Upinzani Rais Samia atauweza?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,152
20,325
Ni wazo tu. Tujaribu kuwaza kwa pamoja kwenye siasa za Tanzania.

Rais Dkt. Samia ni Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Katiba Yao wanasema Rais akianA awamu ya kwanza sharti apewe nafasi kuendelea na kipindi cha Pili. Lakini wenye macho na masikio tumeona kuna vugu vugu la upinzani ndani ya Chama chake wako tayari kutoa upinzani wakati wa Uchaguzi unaotarajiwa 2025.

Licha ya hivyo tumeshuhudia wimbi kubwa la wanachama damu damu wa ccm na kundi kubwa la wananchi wasio na vyama wakipinga sera zake wazi wazi.

Moja ya jambo ambalo limezua seke seke ni hili la bandari pamoja na mambo mengine

Hapo hapo tukikumbuka jinsi Hayati Dr John Pombe Magufuli alivyotoka jasho kudhibiti Upinzani wa vyama vya upinzani je huu upinzani uliounganika Dr Samia Suluhu Hassani atauweza?

Ikumbukwe siasa za wakati wa leo zimebadilika sana tofauti na miaka 5 au 10 iliyopita.
 
Ni wazo tu. Tujaribu kuwaza kwa pamoja kwenye siasa za Tanzania.

Rais Dr Samia ni Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Katiba Yao wanasema Rais akianA awamu ya kwanza sharti apewe nafasi kuendelea na kipindi cha Pili...
Huyo mama yao atapuyanga kila kona na huku kanda ya ziwa hataamin kuamin nachokisema ikifika 2025 ndio nitaeleweka vizuri.

NOTE: CCM katika chaguzi zote zilizowahi kufanyika , uchaguz wa 2025 watatumia gharama kubwa sana ili kupata watu wa kuwasikiliza kama walivyotumia gharama kubwa kusomba watu juzjuz pale kirumba wakati wanatetea bandari.
 
Huyo mama yao atapuyanga kila kona na huku kanda ya ziwa hataamin kuamin nachokisema ikifika 2025 ndio nitaeleweka vizur.
NOTE: CCM katika chaguzi zote zilizowahi kufanyika , uchaguz wa 2025 watatumia gharama kubwa sana ili kupata watu wa kuwasikiliza kama walivyotumia gharama kubwa kusomba watu juzjuz pale kirumba wakati wanatetea bandari.
We upo Mwanza?

Niambie ni lini CCM ilijaza watu wa kutoka Mwanza tu uwanja wa Kirumba, ni kawaida tangu enzi za mkapa kuleta watu wa Shinyanga, Mara, Ukerewe na visiwani kote.

Kikubwa mama atashinda kama walivyoshinda wengineo 😆
 
Huyo mama yao atapuyanga kila kona na huku kanda ya ziwa hataamin kuamin nachokisema ikifika 2025 ndio nitaeleweka vizuri.

NOTE: CCM katika chaguzi zote zilizowahi kufanyika , uchaguz wa 2025 watatumia gharama kubwa sana ili kupata watu wa kuwasikiliza kama walivyotumia gharama kubwa kusomba watu juzjuz pale kirumba wakati wanatetea bandari.
Kuna chaguzi hawatumii gharama?
 
We upo Mwanza??
Niambie ni lini CCM ilijaza watu wa kutoka Mwanza tu uwanja wa Kirumba, ni kawaida tangu enzi za mkapa kuleta watu wa Shinyanga, Mara, Ukerewe na visiwani kote....
Kikubwa mama atashinda kama walivyoshinda wengineo 😆
Hehehehe
 
Ni wazo tu. Tujaribu kuwaza kwa pamoja kwenye siasa za Tanzania.

Rais Dkt. Samia ni Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Katiba Yao wanasema Rais akianA awamu ya kwanza sharti apewe nafasi kuendelea na kipindi cha Pili. Lakini wenye macho na masikio tumeona kuna vugu vugu la upinzani ndani ya Chama chake wako tayari kutoa upinzani wakati wa Uchaguzi unaotarajiwa 2025.

Licha ya hivyo tumeshuhudia wimbi kubwa la wanachama damu damu wa ccm na kundi kubwa la wananchi wasio na vyama wakipinga sera zake wazi wazi.

Moja ya jambo ambalo limezua seke seke ni hili la bandari pamoja na mambo mengine

Hapo hapo tukikumbuka jinsi Hayati Dr John Pombe Magufuli alivyotoka jasho kudhibiti Upinzani wa vyama vya upinzani je huu upinzani uliounganika Dr Samia Suluhu Hassani atauweza?

Ikumbukwe siasa za wakati wa leo zimebadilika sana tofauti na miaka 5 au 10 iliyopita.
Kupewa Awamu ya pili ni Kwa mgombea aliyepigiwa kura na wananchi.

Hii ni Awamu yake ya pili kikatiba, lakini kichama na kiuchaguzi, ni Awamu yake ya kwanza.

Hivyo nafasi hiyo ni muhimu ikagombaniwa, mchujo upite, DEMOKRASIA ndani ya chama ifanye KAZI yake.

Sijui naeleweka?
 
Ni wazo tu. Tujaribu kuwaza kwa pamoja kwenye siasa za Tanzania.

Rais Dkt. Samia ni Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Katiba Yao wanasema Rais akianA awamu ya kwanza sharti apewe nafasi kuendelea na kipindi cha Pili. Lakini wenye macho na masikio tumeona kuna vugu vugu la upinzani ndani ya Chama chake wako tayari kutoa upinzani wakati wa Uchaguzi unaotarajiwa 2025.

Licha ya hivyo tumeshuhudia wimbi kubwa la wanachama damu damu wa ccm na kundi kubwa la wananchi wasio na vyama wakipinga sera zake wazi wazi.

Moja ya jambo ambalo limezua seke seke ni hili la bandari pamoja na mambo mengine

Hapo hapo tukikumbuka jinsi Hayati Dr John Pombe Magufuli alivyotoka jasho kudhibiti Upinzani wa vyama vya upinzani je huu upinzani uliounganika Dr Samia Suluhu Hassani atauweza?

Ikumbukwe siasa za wakati wa leo zimebadilika sana tofauti na miaka 5 au 10 iliyopita.
Ccm wakileta upinzani Kwa Samia wanamkomoa nani? Wanamkomoa Samia? Samia tayari ni Rais cheo Cha Juu zaidi.
 
Ni wazo tu. Tujaribu kuwaza kwa pamoja kwenye siasa za Tanzania.

Rais Dkt. Samia ni Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Katiba Yao wanasema Rais akianA awamu ya kwanza sharti apewe nafasi kuendelea na kipindi cha Pili. Lakini wenye macho na masikio tumeona kuna vugu vugu la upinzani ndani ya Chama chake wako tayari kutoa upinzani wakati wa Uchaguzi unaotarajiwa 2025.

Licha ya hivyo tumeshuhudia wimbi kubwa la wanachama damu damu wa ccm na kundi kubwa la wananchi wasio na vyama wakipinga sera zake wazi wazi.

Moja ya jambo ambalo limezua seke seke ni hili la bandari pamoja na mambo mengine

Hapo hapo tukikumbuka jinsi Hayati Dr John Pombe Magufuli alivyotoka jasho kudhibiti Upinzani wa vyama vya upinzani je huu upinzani uliounganika Dr Samia Suluhu Hassani atauweza?

Ikumbukwe siasa za wakati wa leo zimebadilika sana tofauti na miaka 5 au 10 iliyopita.
Vilimtoa jasho alafu akapata 84%?
 
Binafsi mimi sio mtu wa siasa sana lakini kuna kitu niwaambie tu Chadema waitumie vizuri hii fursa iliyopo wakati huu kanda ya ziwa,, hakuna mtu anayeitaka CCM nawaambia ukweli,, muhimu viongozi wa Chadema wajitahidi kumdhibiti Lissu asiendelee kumsema Magufuli hapa tu basi,, kuendelea kwake kumsema kwa mabaya Magufuli licha tu ya kuwa sio utamaduni wa wasukuma bali pia kunafifisha hata ule udogo wa imani waliyonayo juu yake,, amuache mzee wetu apumzike kwa amani,, kura zote za kanda ya ziwa ziko wazi kwa yeyote atakaye kuwa serious na maisha yao,,
 
Binafsi mimi sio mtu wa siasa sana lakini kuna kitu niwaambie tu Chadema waitumie vizuri hii fursa iliyopo wakati huu kanda ya ziwa,, hakuna mtu anayeitaka CCM nawaambia ukweli,, muhimu viongozi wa Chadema wajitahidi kumdhibiti Lissu asiendelee kumsema Magufuli hapa tu basi,, kuendelea kwake kumsema kwa mabaya Magufuli licha tu ya kuwa sio utamaduni wa wasukuma bali pia kunafifisha hata ule udogo wa imani waliyonayo juu yake,, amuache mzee wetu apumzike kwa amani,, kura zote za kanda ya ziwa ziko wazi kwa yeyote atakaye kuwa serious na maisha yao,,
Tume huru ya uchaguzi na policcm hawatakubali hata vipi.
 
Ni wazo tu. Tujaribu kuwaza kwa pamoja kwenye siasa za Tanzania.

Rais Dkt. Samia ni Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Katiba Yao wanasema Rais akianA awamu ya kwanza sharti apewe nafasi kuendelea na kipindi cha Pili. Lakini wenye macho na masikio tumeona kuna vugu vugu la upinzani ndani ya Chama chake wako tayari kutoa upinzani wakati wa Uchaguzi unaotarajiwa 2025.

Licha ya hivyo tumeshuhudia wimbi kubwa la wanachama damu damu wa ccm na kundi kubwa la wananchi wasio na vyama wakipinga sera zake wazi wazi.

Moja ya jambo ambalo limezua seke seke ni hili la bandari pamoja na mambo mengine

Hapo hapo tukikumbuka jinsi Hayati Dr John Pombe Magufuli alivyotoka jasho kudhibiti Upinzani wa vyama vya upinzani je huu upinzani uliounganika Dr Samia Suluhu Hassani atauweza?

Ikumbukwe siasa za wakati wa leo zimebadilika sana tofauti na miaka 5 au 10 iliyopita.
Labda uulize CCM itauweza?

Mama Samia ni mwana CCM, Tanzania hatuna mgombea huru.
 
Kupewa Awamu ya pili ni Kwa mgombea aliyepigiwa kura na wananchi.

Hii ni Awamu yake ya pili kikatiba, lakini kichama na kiuchaguzi, ni Awamu yake ya kwanza.

Hivyo nafasi hiyo ni muhimu ikagombaniwa, mchujo upite, DEMOKRASIA ndani ya chama ifanye KAZI yake.

Sijui naeleweka?
Je ndani ya chama atakubali kupingwa?
 
Back
Top Bottom