Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,152
- 20,325
Ni wazo tu. Tujaribu kuwaza kwa pamoja kwenye siasa za Tanzania.
Rais Dkt. Samia ni Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Katiba Yao wanasema Rais akianA awamu ya kwanza sharti apewe nafasi kuendelea na kipindi cha Pili. Lakini wenye macho na masikio tumeona kuna vugu vugu la upinzani ndani ya Chama chake wako tayari kutoa upinzani wakati wa Uchaguzi unaotarajiwa 2025.
Licha ya hivyo tumeshuhudia wimbi kubwa la wanachama damu damu wa ccm na kundi kubwa la wananchi wasio na vyama wakipinga sera zake wazi wazi.
Moja ya jambo ambalo limezua seke seke ni hili la bandari pamoja na mambo mengine
Hapo hapo tukikumbuka jinsi Hayati Dr John Pombe Magufuli alivyotoka jasho kudhibiti Upinzani wa vyama vya upinzani je huu upinzani uliounganika Dr Samia Suluhu Hassani atauweza?
Ikumbukwe siasa za wakati wa leo zimebadilika sana tofauti na miaka 5 au 10 iliyopita.
Rais Dkt. Samia ni Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ambapo kwa mujibu wa Katiba Yao wanasema Rais akianA awamu ya kwanza sharti apewe nafasi kuendelea na kipindi cha Pili. Lakini wenye macho na masikio tumeona kuna vugu vugu la upinzani ndani ya Chama chake wako tayari kutoa upinzani wakati wa Uchaguzi unaotarajiwa 2025.
Licha ya hivyo tumeshuhudia wimbi kubwa la wanachama damu damu wa ccm na kundi kubwa la wananchi wasio na vyama wakipinga sera zake wazi wazi.
Moja ya jambo ambalo limezua seke seke ni hili la bandari pamoja na mambo mengine
Hapo hapo tukikumbuka jinsi Hayati Dr John Pombe Magufuli alivyotoka jasho kudhibiti Upinzani wa vyama vya upinzani je huu upinzani uliounganika Dr Samia Suluhu Hassani atauweza?
Ikumbukwe siasa za wakati wa leo zimebadilika sana tofauti na miaka 5 au 10 iliyopita.