Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,503
- 86,053
Kuna swali tu nimejiuliza hapa, what if tule tu vyama vingine vya Upinzani vitajiunga kwenye maandamano yanayoratibiwa na CHAMA KIKUU CHA UPINZANI? Kisheria ikoje? Itabidi na wao wakaombe kibali cha maandamano??
swali la ziada, je maandamano haya hayaweze ku-escalate na kuwahusisha watu wote? Je huu huenda ukawa ndio muendelezo wa kuanguka kwa CCM?
Niko Kasulu hapa tunajaza mafuta bodaboda na kulazimisha wanafunzi na wana vyuo na magari ya Mashirika ya Misaada ya Wkimbizi kesho wajitokeze kumpokea "Mhemezi" wa CCM. Karibu Kasulu
swali la ziada, je maandamano haya hayaweze ku-escalate na kuwahusisha watu wote? Je huu huenda ukawa ndio muendelezo wa kuanguka kwa CCM?
Niko Kasulu hapa tunajaza mafuta bodaboda na kulazimisha wanafunzi na wana vyuo na magari ya Mashirika ya Misaada ya Wkimbizi kesho wajitokeze kumpokea "Mhemezi" wa CCM. Karibu Kasulu