Vyama vya upinzani vinaoneana wivu, ni nani mwenye urafiki na upinzani kwa CCM?

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,017
12,306
Vyama vya upinzani vya Tanzania ni kama wapo kwenye league ya kuoneana wivu.

Ni chama gani chenye urafiki na ushindani kwa chama tawala CCM, hii ni toka utawala wa Samia uanze.

Hali hii inanishangaza sana.
 
Back
Top Bottom