Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,938
- 4,354
Lissu akifanyiwa figisu October 28. Tutaumia wote, sio CHADEMA wala CCM. Sote tutaumia. Na CCM wataumia zaidi maana pesa walizoficha nje zitapigwa lock. Misaada tutanyimwa na tutashinda njaa sote. Magufuli hafai ndugu zangu!