Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 17,176
- 19,846
Vibanda vya machinga makoroboi?sio kwamba wanatandaza bidhaa chini?
Pamoja na kutandaza chini lakini pia huwa wana vibanda vya muda pembeni kwenye kuta za yale majengo ya Wahindu! Waondoke bwana waache vile vibanda vya kudumu vifanye kazi! Wewe unakabwa mpaka mlangoni utafanyaje biashara?