CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,999
Nimepigiwa simu na mtu wa Mwanza anadai hapatoshi.
Tunaomba uhakika zaidi wakaazi wa Mwanza.
Wee nae hebu usituchoshe hapa
anayekuchosha yupo nyumbani anakusubiri....hapa hulazimishwi kusoma wala kuchangia ....?
Mapolisi ya Tanzania ni kama maroboti, yakiamrishwa yanaenda tu. Poor Polices.
Shida kubwa hapa ni nguvu ya pesa! lakini pia pamoja na huyo Wenje kutuhumiwa na hao wasio watanzania ambao wanatakiwa kuwa nje ya mji! Je, kwa nini Lowasa alipokuja Mwanza walikusanyana hapo hapo makoroboi!! Au faida yake imekwisha na sasa waondoke!??
mkuu utachoka bure kuelezea,saa ingine ujue hapo unahangaika na mtu wa kidato cha kwanza,kwahiyo anakua hana exposure na mambo yanavyoenda,maadamu yeye amesikia wenje anasema hivi na yeye anakariri hapo hapo,ujue elimu imeshuka sana siku hizi.