Vurugu mitaani Mwanza kati ya wamachinga na polisi

Vurugu mitaani Mwanza kati ya wamachinga na polisi

Umeona eeh, yanakimbia hovyo tu, kinachoniudhi hayo mabomu mengine wanayapiga hata sehemu ambayo hakuna kikundi cha watu wala nini, nadhani wanayo mengi inabidi wayatumie hadi yaishe leo

Umeona eeh. Lazima yatumike ili stock ipungue kujustify budget waliyoomba.
 
Wenje ni mnafiki tena mnafiki hasa! Yeye kaongea na wananchi wa Mza mara kwa mara akisisitiza kuwa wamachinga wafanye biashara popote wanapotaka na ndio wamezagaa kila kona ya jiji la mwanza. Leo anaitaka serikali iwatengee maeneo! Maeneo walikotengewa hawaendi na Wenje anawapa support! Please Wenje asicheze na akili za watu kwa umaarufu wake wa kiasiasa, please, please, please.
Na watoa habari jamani wawe na uhakika, Mwanza hakuna soko linaloitwa makoroboi, wala pale maeneo ya makoroboi hakuna soko. Ni hawahawa ambao Wenje kawadanganya na kuanza kujipenyeza baadaye wakaanza kusema soko la makoroboi. Makoroboi palikuwa na soko toka enzi za Mwinyi na likahamishwa kupelekwa sehemu inayoitwa Mlango Mmoja almaarufu Langolango.
 
Wenje ni mnafiki tena mnafiki hasa! Yeye kaongea na wananchi wa Mza mara kwa mara akisisitiza kuwa wamachinga wafanye biashara popote wanapotaka na ndio wamezagaa kila kona ya jiji la mwanza. Leo anaitaka serikali iwatengee maeneo! Maeneo walikotengewa hawaendi na Wenje anawapa support! Please Wenje asicheze na akili za watu kwa umaarufu wake wa kiasiasa, please, please, please.
Na watoa habari jamani wawe na uhakika, Mwanza hakuna soko linaloitwa makoroboi, wala pale maeneo ya makoroboi hakuna soko. Ni hawahawa ambao Wenje kawadanganya na kuanza kujipenyeza baadaye wakaanza kusema soko la makoroboi. Makoroboi palikuwa na soko toka enzi za Mwinyi na likahamishwa kupelekwa sehemu inayoitwa Mlango Mmoja almaarufu Langolango.

Kuna anaekulipa kudanganya watu?
 
Bado yanapigwa, nimetoka town sasa hivi bado yanarindima na difenda zinapishana tu, subirsubiri labda kwenye saa saba hivi, mjini kwenyewe labda uje bank au hospital mamii manake hakuna duka lililowazi


Mabomu yashapoa jaman watu tuje town???
 
Bado yanapigwa, nimetoka town sasa hivi bado yanarindima na difenda zinapishana tu, subirsubiri labda kwenye saa saba hivi, mjini kwenyewe labda uje bank au hospital mamii manake hakuna duka lililowazi

Wapendwa, kwa hali inavoendelea, naona staweza kufanya kile nilichokusudia kufanya hapa jijini. Naona bora niendelee na safari yangu tu. Noamba tuonane ijumaa kwa atakaepata nafasi. Naomba muwe makini hasa siku ya leo siunajua yaliyotokea kwa mwangosi! Nawapenda nyote. Stay blessed.
 
Bado yanapigwa, nimetoka town sasa hivi bado yanarindima na difenda zinapishana tu, subirsubiri labda kwenye saa saba hivi, mjini kwenyewe labda uje bank au hospital mamii manake hakuna duka lililowazi

Hali imeshakuwa hivyo.......

Sasa ni hatari

Kuna kitu natamani sana kitokee lakini basi tu!
 
Back
Top Bottom