hivi hiyo makoroboi inashida gani!kila kukiwa na fujo mwanza zinaanzia hapo!!!kwa nn wasiwaache vijana wachape kazi bila bugudha!!
yaan hii serikali taabu tupu, watu wakijiajiri napo shida.............pale wala hapana tatizo kwsbb watu wanafanya biashara zao kwa utulivu sasa sijui serikali inakereka nn, na sijui waende wapi sasa hawa watu.